Nina swali kwako
einstein newton kinaanza kipi kati ya kuku na yai?
Alafu acha kupotosha, Nuru ni nini kwani? Ndo kitu cha kwanza kuumbwa....... Haya mambo ya uumbaji na science ya mzungu huwa siku zote haviwezi vikakubaliana....
Hivi karibuni project yao ya CERN imekamilika ili waweze kuthibitisha kuwa big bang theory ilikuwa kweli kwa ku kugonganisha two positive subatomic particles ili kupata what they call "God's particles".
Hii yote ni kuondoa kile tunachoamini kuwa kweli sio kweli.... na hawata fanikiwa zaid ya kuleta dark forces na kusingizia ni beings from other universe... maana wanadai kuna parallel universes