Errors in genesis

Errors in genesis

That's a very lame argument,it's like arguing that if you punish you kids then you are not a loving compassionate parent!
God uses suffering to
1.Punish sin either directly or indirectly
2.To produce good
3. Reinforce our believe in him[/QUOT
bullshit, you punish kids for a reason lakini sio reason za kipuuzi kama za kule, sasa wewe unasabisha mtu afanye kosa kutokana na uwezo wako ulio nao alafu unampa adhabu tena yule mtu kwa kufanya lile kosa ambalo ume mset afanye?? aliufanya moyo wa farao ukawa mgumu alafu akaendelea kawatesa wamisri na walikua ni wamisri wote sasa hapo alikua analipiza kisasi au ni hasira za kipumbavu kiasi gani?
 
Uyu dogo labda kakosa nini kustahili adhabu hii?

Je kuna nini tunaweza kujifunza kutokana na uumbaji wa mateso ya namna hii, hata kama ni mazingira yamechangia, kwanini huyu mtoto??

Kwa namna hii tutaamini ni miujiza ya mungu, au tutaamini ni shetani ndo inamuadabisha?

wenyewwe wnakuambia ni mpango wa Mungu, YAANI UKIITAFAKARI DINI SANA UTAJUA KUA NDIO UPUMBAVU WA MWIIISHO KABISA, AMBAO UNAIKOST SANA DUNIA
 
That's a very lame argument,it's like arguing that if you punish you kids then you are not a loving compassionate parent!
God uses suffering to
1.Punish sin either directly or indirectly
2.To produce good
3. Reinforce our believe in him
bullshit, you punish kids for a reason lakini sio reason za kipuuzi kama za kule, sasa wewe unasabisha mtu afanye kosa kutokana na uwezo wako ulio nao alafu unampa adhabu tena yule mtu kwa kufanya lile kosa ambalo ume mset afanye?? aliufanya moyo wa farao ukawa mgumu alafu akaendelea kawatesa wamisri na walikua ni wamisri wote sasa hapo alikua analipiza kisasi au ni hasira za kipumbavu kiasi gani
 
Nina swali kwako einstein newton kinaanza kipi kati ya kuku na yai?
Alafu acha kupotosha, Nuru ni nini kwani? Ndo kitu cha kwanza kuumbwa....... Haya mambo ya uumbaji na science ya mzungu huwa siku zote haviwezi vikakubaliana....

Hivi karibuni project yao ya CERN imekamilika ili waweze kuthibitisha kuwa big bang theory ilikuwa kweli kwa ku kugonganisha two positive subatomic particles ili kupata what they call "God's particles".

Hii yote ni kuondoa kile tunachoamini kuwa kweli sio kweli.... na hawata fanikiwa zaid ya kuleta dark forces na kusingizia ni beings from other universe... maana wanadai kuna parallel universes

egg-hen problem is what we call circular reference,it has many solution

this is one of the speculative solutions;
modern day chicken once envolved from non chicken species due to minor change or biological mutation

these DNA changes came about in cell housed in egg.so egg came first
 
Last edited by a moderator:
bullshit, you punish kids for a reason lakini sio reason za kipuuzi kama za kule, sasa wewe unasabisha mtu afanye kosa kutokana na uwezo wako ulio nao alafu unampa adhabu tena yule mtu kwa kufanya lile kosa ambalo ume mset afanye?? aliufanya moyo wa farao ukawa mgumu alafu akaendelea kawatesa wamisri na walikua ni wamisri wote sasa hapo alikua analipiza kisasi au ni hasira za kipumbavu kiasi gani

wale watoto wa kwanza wa kiume waliouwawa na malaika nao walikuwa na makosa gani?
 
wale watoto wa kwanza wa kiume waliouwawa na malaika nao walikuwa na makosa gani?
quite interesting topic i have been reading word to word since yesterday upto now. waiting for theist to come with their confused and fallacious theological defences.
 
I'm ape,your right,because your biological make up envolved from me

but you are still failed abortion whose birth certificate is an apology from condom factory!
shame on you mrs!!

Mr not mrs
 
quite interesting topic i have been reading word to word since yesterday upto now. waiting for theist to come with their confused and fallacious theological defences.

teh teh teh

all theist are apologist naturally
but they have verbal defense rather than scientific evidence
and their main weapon is bible,the collection of ancient tales...
 
Unapingana na Mungu?Uwezo wa Mungu syo wa photosynthesisi mkuu.usihangaike fikiria tu kwa nini una matundu mengi mwilini lakini unstumia mku..n.du kun..yea na mdomo kula.
 
(Anti-Christs)...hizi ni siku za mwisho acha kumkana muumba wako
 
(Anti-Christs)...hizi ni siku za mwisho acha kumkana muumba wako

If you are familiar with your own doctrine,Anti-christ according to scripture is the one who dwell in "vatican",the so called pope and not me buddy
I'm atheist by the way!!!
 
wakristo wengi wanaamini kuwa mpangilio wa matukio katika kitabu cha "mwanzo" ni scientifically accurate...si kweli

hauhitaji professor wa fizikia kutambua makosa yaliyomo katika kisa hicho cha uumbaji

mfano,mwanzo 1:3-5
"Mungu akatenga nuru na giza,mungu akaiita nuru mchana,na giza akaliita usiku"

uwepo wa mchana na usiku unategemea uhusiano wa vitu viwili,jua na dunia
lakini kulingana na biblia,jua pamoja na nyota zote ziliumbwa siku ya nne(ref;mwanzo 1:14-19)

sasa usiku na mchana vilikujaje siku ya kwanza?

mwanzo 1:9-13

Mungu anaumba majani,miche itoayo mbegu na miti katika siku ya tatu

kwa utashi wa kawaida tu,hakuna mmea unaoweza kuishi bila photosynthesis.Mojakati ya requrements muhimu ya photosynthesis ni mwanga wa jua,lakini jua liliumbwa siku moja
baadae

mwanzo 1:14-19

Mungu anaumba mianga(chazo cha mwanga) miwili mikubwa yaani mwezi na jua,kisha mwezi utawale usiku

lakini mwezi hautengenezi mwanga wake bali unaakisi mwanga unaotoka kwenye jua

wakristo mnahitajika hapa tafadhali!

Lisilowezekana AKILINI KWAKO kwa Mungu linawezekana.
 
If you are familiar with your own doctrine,Anti-christ according to scripture is the one who dwell in "vatican",the so called pope and not me buddy
I'm atheist by the way!!!
According to atheist scripture, to be specific.
 
According to atheist scripture, to be specific.

I guess you are mistaken about the whole notion of atheism
atheists have neither scripture nor holy books at all....
my argument was based on bible scripture and nothing else
 
I guess you are mistaken about the whole notion of atheism
atheists have neither scripture nor holy books at all....
my argument was based on bible scripture and nothing else
Based on the teachings of your lord and king, lucifer to be specific.
 
Back
Top Bottom