kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,033
Ndio hivyo mkuu.... Mi sikununuaga pc hadi nilipopata mkwanja wa maana ndio nikavuta pc... Nacheza game kubwa zote kweny setting za ultra (game inakua clean hadi basi)... Jichange upate hata 700 tu utapata mashine amazing kwa washkaji.dah we acha tu kama mm napenda xana game za assassin creed. nilidownload assassin creed tu. nimefika level flani likagoma na likafuta data zote. ikabidi nianze upya. sasa hivi ndo linazingua mwanzo mwisho sichezi hata nusu saa linastack. computa inajizima. na mbaya zaidi sometime linafuta data tena naanza upya. gpu yake 256mb. me compyuta yangu ina 128mb.
cjui hata nifanyaje