Nimepata ya habari ya kuwa kuna mgogoro kati ya wanafunzi na Uongozi.Madai mojawapo ni kuhusu kiwango halai cha ada.Nasikia FFU wameshafika.
TCU tusaidie kukagua hivi vyuo na kurekebisha ili watoto wasome kwa aman,mnafanya nini mpaka migogoro iwe ya kuitiana Polisi?Tunawazoesha watoto kukabiliana na dola jambo ambalo si nzuri kwa mustakabali wa nchi yetu.
TCU tusaidie kukagua hivi vyuo na kurekebisha ili watoto wasome kwa aman,mnafanya nini mpaka migogoro iwe ya kuitiana Polisi?Tunawazoesha watoto kukabiliana na dola jambo ambalo si nzuri kwa mustakabali wa nchi yetu.