Eric Shigongo, umemwona kaka yako?

Kauli yoyote atakayo inena JPM lazima kundi fulani lipinge tu, kwa kuwa hawana sera nyingine kama sio ya kukaa golini na kusubiri kauli! Pathetic walahi!
China na nchi za kiarabu huwa hawana mchezo kabisa!
Kwa sababu wote wanalipa koɗi ili jiwe aishi
 

Wewe umebatizwa kuwa masikini, so please acha wasioupenda waukatae, ungekuwa karibu kweli ningekunasa kofi haramu wewe
 
Safi sana wewe ni mzalendo inapaswa ipunguzwe mpaka 200 000 .
 
Nakubaliana kabisa na maelezo yako! Hata hivyo, kutokana na jibu alilotoa jamaa amedhirisha wazi kwamba ni kweli alidanganya kama nilivyokuwa nimemuambia!!!!
 
Acha wivu usio na mpango Mkuu. Kwa nini Watanzania tunapenda kuwa against na watu ambao wana mafanikio? Huwezi jilinganisha chochote na Shigongo, he emerged from nothing and through hard struggling, he is somewhere now kiasi kwamba unaweza kuanza kukaa na kumjadili. Wote tukiwa maskini nani atamsaidia mwenzake? SMH!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…