mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Dar live Mbagala mkuu.
Dar live Mbagala mkuu.
Fanya kazi weeweMsukuma mjanja!!!
KweliNi msukuma wa Mwanza aliyezaliwa miaka ya 1969,kutoka familia maskini hata shuleni alienda bila viatu yy na dada zake.Kwa sasa Ni mtu aliyefanikiwa kama ulivyoandika kwenye msg yako
Evarist StambuliKweli
Kiwanda cha uchapishaji wa magazeti ndo yeye mmiliki pia ni mtu wa fursa fursa nyingiGlobal publisher ndo nini mkuu