MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
Aina ya watu kama yeye ndo wanasababisha hawa majirani watudharau dunia ya sasa unatapeliwaje mchana kweupe kama ni mzalendo sana izo hela za kumleta huyo Mganda si angempatia kijana wa Kitanzania kama BARNABA,DIAMOND,AY,ROMA ambao wanamvuto kwenye jamii kuliko huyo CHAMELEON jamani huyu SHIGONGO ni JANGA la kitaifa tena ajue yeye ni kati ya WATZ wanye ufahamu mdogo na tuna taarifa zake anafanya biashara ya madawa ya kulevya pia....wana JF tuungane kukemea mouvu ya watu kama SHIGONGO bila kuchoka na itafika wakati tutazipeleka izi harakati zetu mbali.