Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
- Thread starter
- #81
Upeo wake ni finyu sana maana kauli alizotoa ni tata, mtu mzima hawezi kuongea hivyo. Anasema Wakenya na Waganda wanatudharau sana Watanzania.
Hoja aliyokuwa anaongelea na kuwahusisha waTZ wote ni mtafaruku wake binafsi na Jose Chameleone.
Anajenga chuki baina ya mataifa mawili kwa masuala yake binafsi.
Nimejua ni kwa nini yeye ni mkurugenzi wa udaku na up upu Tz.
Yeye ndo katuabisha eti tupo kimya? alitaka tufanye nini...anafanya uzembe wake atatuhusisha na sisi then anasema hatupendani,kilaza mkubwa yule...:nono: