Epukana na tabu za TANESCO

Epukana na tabu za TANESCO

SEPON-LTD

Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
84
Reaction score
7
Sepon limited unakupatia huduma za solar zitakazokupatia umeme muda wote, Yanini kusumbuka na Luku wakati nguvu ya nishati ya jua ipo? tunakufuata popote ulipo kwa gharama nafuu zaidi.
Tunatoa warranty ya mwaka mzima na free service mwaka.

WASILIANA NASI 0716485858/0762246488
TUPO SINZA MORI DAR ES SALAAM
 
Hivi solar si zinauzwa na wamachinga? Sasa services ni za kazi gani?

Sio kila mtu ni fundi umeme wala si kila mtu anajua kuunganisha mifumo ya solar, ikiwa wewe uko fit kwenye haya mambo basi kanunue kwa machinga then ufunge mwenyewe (CASE SOLVED)
 
unaulizia panel za watts 200 au unaulizia system ya watts 200

Badala ya kuuliza na wewe, ungejibu majibu yote yeye angechagua alilotaka, maana wengine watauliza kwa mfululizo ambao ungekuwa ushawajibu.
 
Kuweka matangazo humu ni bure lakini bado tunashindwa kuandika matangazo ya kuvutia, au watu ni wavivu kuandika??
Ilikuepuka masuala mengi madogodogo ungeweka bei. Kwanfano packet ya watt 50 ni bei gani na 100, 200, 300 ni bei gani. Na pia ili kuweka rahisi zaidi nyumba ya kawaida inayotumia taa 10 hadi 15 pammoja na tv, friji au freezer na feni angalau 5 ni bei gani. Hapo utamfanya msomaji avutiwe na hata kama mtu hakua na mpango wa sola basi itakua chanzo cha kumuansha.
Bunafsi nipe bei ya hiyo nyumba niliokutajia hapo juu na bei ya packet watt 300
 
Mshaanza kyichukia Tanesco tena kwani Mhongo bado yuko pale wizarani?
 
Tangazo halijajitosheleza. Mimi nataka kujua kufunga panels kwa ajili ya nyumba nzima yenye taa kama 8, tv, fridge, fans kama tano, washing mashine, vacuum cleaner, water dispenser, air cooler, jiko la umeme n.k
Nnaweza kuhitaji sytem ya watts ngap na gharama jumla ya kufunga ni sh. Ngapi?

Je inaweza kukidhi mahitaji bila ya kutegemea umeme wa tanesco
 
Sepon limited unakupatia huduma za solar zitakazokupatia umeme muda wote, Yanini kusumbuka na Luku wakati nguvu ya nishati ya jua ipo? tunakufuata popote ulipo kwa gharama nafuu zaidi.
Tunatoa warranty ya mwaka mzima na free service mwaka.

WASILIANA NASI 0716485858/0762246488
TUPO SINZA MORI DAR ES SALAAM
solar ya kuweza kuwasha ac tatu masaa 24 ni bei gani kwa makadilio?
 
Sepon limited unakupatia huduma za solar zitakazokupatia umeme muda wote, Yanini kusumbuka na Luku wakati nguvu ya nishati ya jua ipo? tunakufuata popote ulipo kwa gharama nafuu zaidi.
Tunatoa warranty ya mwaka mzima na free service mwaka.

WASILIANA NASI 0716485858/0762246488
TUPO SINZA MORI DAR ES SALAAM

Hivi mkuu unajua unachokifanya lakini? Unajua maana ya marketing? Au kwa sababu uliona jukwaa limeitwa matangazo madogomadogo ukaamua kuandika? Huwezi kuweka TANGAZO watu wakakuuliza maswali kuhusu huduma zako ukakimbia...
Huu ni udhalilishaji wa huduma unayoitoa, Na kupotezea watu muda kusoma vitu visivyokuwa na uhalisia. Tafadhali mkuu njoo ujibu maswali haya!
 
Back
Top Bottom