Mahara = mahalajitahidi unywe kias kidogo cha soda ukishindwa kuacha kabsa, pia nimewah sikia mahara fulani kuwa tunashauriwa kunywa maji ya kutosha kila baada ya kunywa soda, sana sana carbonated drinks. hiyo ni kwa hidani ya madaktari kutoka marekani
Unamaanisha sukari ya kiwandani?? Ile ya brown au ile nyeupeNi kama unakula tunda tu, kumbuka sukari mbaya ni ile ambayo iko processed.
wanashauri ya brown ni nzuri kuliko nyeupe.Unamaanisha sukari ya kiwandani?? Ile ya brown au ile nyeupe
Sawa sawa Dadawanashauri ya brown ni nzuri kuliko nyeupe.
Ukiweka nia utaweza. Mie nimeweza.Mkuu...nilijaribu kuacha soda kwa miez mitatu nmeshindwa nmerudi tena kwenye soda.
Vip vinywaji kana Fursana, pride, vita malta?