Epuka haya mambo mwanaume

Epuka haya mambo mwanaume

Lakini hela zetu unazipenda sio? Ni wazi mnajua walevi tunahonga kuliko wazee wa kanisa! Tukiwachukia pia mtakufa njaa 😀
😁😁😁uongo walevi hamuhongi sana mnaona kuliko kutoa hela ni heri mtu umnunulie pombe anywe
 
Unakuta mwanaume unajipendekeza kwa wakubwa kazini na kuharibia wenzako na mnakaa kusema sema wenzenu (majungu) alafu linarudi home respect.
 
Imasikitisha
Wanaume,
Mambo haya unatakiwa kuyaepuka sana,
  • Pornography
  • Uvutaji sigara
  • Punyeto/kujichua
  • Unywaji pombe kupita kiasi
  • Dawa za kuongeza nguvu za kiume

Hayo mambo yanakufanya uwe dhaifu mno.
Imasikitisha sana kijana unaenda kuona pono na vinywaji vikali
 
Kua kingine umesahau sio lazima ila muhimu MKATABA WA NDOA
 
Back
Top Bottom