Epuka haya mambo mwanaume

Epuka haya mambo mwanaume

Mwachi unazingua, mbona pesa hujaiweka? Mwanaume asipompa pesa mwanamke nayo inaathiri mfumo wa ubongo..!!

Inatakiwa waepuke ubahili kwa wanawake, hebu ongeza hapo chini..!!
 
Mwachi unazingua, mbona pesa hujaiweka? Mwanaume asipompa pesa mwanamke nayo inaathiri mfumo wa ubongo..!!

Inatakiwa waepuke ubahili kwa wanawake, hebu ongeza hapo chini..!!
Mnatufirisi mpaka tynasahau kwetu
 
Sijafahami mtoa maada ni Jinsia ya Ke au Me, ila tu nataka kukuambia achana na starehe za watu. Kila mtu ana starehe yao kuna hao watu wanapenda ngono, huwezi waambia wakakuelewa kuwa nhono ni mbaya ni hadi wapate mardhi, Kuna watu wanapenda sigara na wengine bhang na mengineyo. Kila mmoja na ulevi wake wewe inakupa shida nini?
Kuna watu mnashinda makanisani mnasali tu hamfanyi kazi mkiambiwa muache hiyo starehe mnayofanya mtakubali.? Kuna watu wanapenda kwenda kwa mparange na hao pia hiyo ni starehe yao waache kikibwa wasilete kero kwa wengine wasiotumia hayo.
Mzee wa watu ana kisukari na amemiss kufumua kitumbua nguvu zimekimbia unahisi afanye nini ? Ahangaike na upwiru na mbinu mbadala ipo ? Achana na hizo habari jikite na mambo yako Kiongozi.
 
Mkuu mbona umepaniki sana
Sijafahami mtoa maada ni Jinsia ya Ke au Me, ila tu nataka kukuambia achana na starehe za watu. Kila mtu ana starehe yao kuna hao watu wanapenda ngono, huwezi waambia wakakuelewa kuwa nhono ni mbaya ni hadi wapate mardhi, Kuna watu wanapenda sigara na wengine bhang na mengineyo. Kila mmoja na ulevi wake wewe inakupa shida nini?
Kuna watu mnashinda makanisani mnasali tu hamfanyi kazi mkiambiwa muache hiyo starehe mnayofanya mtakubali.? Kuna watu wanapenda kwenda kwa mparange na hao pia hiyo ni starehe yao waache kikibwa wasilete kero kwa wengine wasiotumia hayo.
Mzee wa watu ana kisukari na amemiss kufumua kitumbua nguvu zimekimbia unahisi afanye nini ? Ahangaike na upwiru na mbinu mbadala ipo ? Achana na hizo habari jikite na mambo yako Kiongozi.
um
 
Back
Top Bottom