Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,578
Licha ya ratiba ngumu, nawapa Man City nafasi ya kunyanyua ubingwa mwisho wa msimu. Arsenal kama kawaida yao kuanzia mwezi march tutaona madudu yao, Liverpool ni tishio lakini hawatobeba ndoo.
Kutokana na mechi zilizosalia unampa nani nafasi ya kutwaa ubingwa? Tuambie…
Kutokana na mechi zilizosalia unampa nani nafasi ya kutwaa ubingwa? Tuambie…