JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Hadi filimbi ya mwisho ya michezo hiyo ya Premier League, Man United imepata ushindi wa magoli 3-2 ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Old Trafford wakati Arsenal imepata sare ya magoli 2-2 katika Dimba la Emirates.
Matokeo mengine ya ligi hiyo leo Jumamosi Agosti 26, 2023, AFC Bournemouth 0-2 Tottenham Hotspur, Brentford 1-1 Crystal Palace, Everton 1-1 Wolves.