Inaeleka una insight ya taarifa za huo upande mwingine. Utatusaidia sana iwapo utazimwaga hapakama nilivyosema hii thread haina ukweli kabla hata sijaingia katika web ya tanroads,huyu mtuma thread seems anakisa chake kingine na mzee mrema,navojua tenda hizi zinaweza kuchukua hata 5yrs kuwekwa ktk action,sasa inabidi watu watoe ukweli ktk hii forum au kama haujui undani wa kitu uliza uambiwe km kuna mwenye uelewa tutajua hapahapa JF watu sio wachoyo
Nina mashaka sana na maelezo ya aliyeanzisha thread hii. Kwanza, kwenye projects za TANROADS barabara hii haipo. Nenda kwenye website ya TANROADS ufungue "projects". Haimo. Pili, mchakato wa kupata tenda, kumuondoa mkandarasi na kumweka mwingine hauko rahisi kiasi ambacho mwanzishaji wa thread hii anataka tuelewe. Taratibu za tenda hazimruhusu Mrema pekee kufanya maamuzi kiasi hicho bila kushirikisha kamati ya tenda ya TANROADS. Sheria ya manunuzi inaeleza wazi namna ya kumuondoa, kumtangaza mkandarasi mpya na kadhalika. Sio rahisi kiasi hicho.
Hata kama kungekuwa na mabadiliko ya mkandarasi, tenda ingetangazwa upya na kuna uwezekano mkubwa washindani wapya wakatoa bei kubwa zaidi kwa sababu ya mabadiliko ya bei za vitu.
Kwa taratibu za tenda za sasa tenda huwa ni fixed (yaani fixed priced tender). Hakuna variations kama huyu bwana anavyotaka tuamini.
Hivyo basi hata kama kuna chuki kumhusu Bwana Mrema kuwe na ukweli kiasi fulani.
Mi sijawahi ona. ERB na CRB wako wapi? au wao wanakazi nyingine.Contractors wengi wa KiChina walikuja /engaged wakati Magufuli ni Waziri wa Infrastructure. Performance yao imekuwa hovyo.(Barabara ya Mlimani, Ruvu Bridge, Shinyanga). Huwa wanaquote hela ndogo ukilinganisha na kazi yenyewe na ndiyo maana utakuta mikataba yao inavunjwa na kupewa wengine. Hii ndiyo "faida" ya lowest bidder.
Contractors wengi wa KiChina walikuja /engaged wakati Magufuli ni Waziri wa Infrastructure. Performance yao imekuwa hovyo.(Barabara ya Mlimani, Ruvu Bridge, Shinyanga). Huwa wanaquote hela ndogo ukilinganisha na kazi yenyewe na ndiyo maana utakuta mikataba yao inavunjwa na kupewa wengine. Hii ndiyo "faida" ya lowest bidder.