Ephrahim Kibonde ana CHEO gani CCM?

Wengi humu mnasukumwa na hisia tu kwa vile Kibonde anasadikika kuwa ni pro-CCM. Zaidi ya hapo hamna hoja yenye substance. Ni matusi, kejeli, na kashfa tu. Mngeielewa vizuri tasnia ya habari wala msingetokwa na mapovu.

Nyani za masiku mkuu .Mimi na wewe tuko hapa siku nyingi na vijana hawa wengi wao ni wanafunzi na Dunia hawaijui so usiwalaumu na mleta mada kauliza ajibiwe kama jamaa ni M CCM kwa cheo au hapana .
Back to you comments nakubaliana nawe hata kama utasema Kibonde ni mjanja mie na nikiiwa TZ huwa namsikia anafyatuka tu ana shida ya kufuata maisha ya watu binafsi .Hata angalikuwa mtu wa comments kujijengea uhalali na uheshimiwe uache kuegemea upande wewe sema tu bila kuegemea lakini hapa na braza wanasema jamaa ikifika kwa Chadema tu yeye anasema lolote tofauti na sasa hasemi janga la Taifa umeme .Labda analia na RA kuondoka nk .Huo ndiyo msimamo na uelewa lakini wewe mtu wa media kila siku unalia lia na Chadema hainogi hebu wasikilize kwanza hawa wandugu .
 
Du yaani huyu jamaa nilijua akili yake mbovu wakati wa uchaguzi, yeye sijui ni mwanahabari wa vp bwana, anazungumza habari anazotaka yeye mwenyewe kwa maslahi yake na kujikomba kwake huko kwa hao wanyinyaji ...

ila ake chonjo make ipo siku naye yatamgeukia ..... yamewakuta wazee wa maamuzi mazito itakuwa yeye?? atakapotakiwa kujivua gamba amablo hajwahi kuvalishwa ndo atajua hii nchi ina wenyewe!!!

Nina usongo na comment zake kwa Chadema!!!!!
 
Nyani za masiku mkuu .Mimi na wewe tuko hapa siku nyingi na vijana hawa wengi wao ni wanafunzi na Dunia hawaijui so usiwalaumu na mleta mada kauliza ajibiwe kama jamaa ni M CCM kwa cheo au hapana .
Back to you comments nakubaliana nawe hata kama utasema Kibonde ni mjanja mie na nikiiwa TZ huwa namsikia anafyatuka tu ana shida ya kufuata maisha ya watu binafsi .Hata angalikuwa mtu wa comments kujijengea uhalali na uheshimiwe uache kuegemea upande wewe sema tu bila kuegemea lakini hapa na braza wanasema jamaa ikifika kwa Chadema tu yeye anasema lolote tofauti na sasa hasemi janga la Taifa umeme .Labda analia na RA kuondoka nk .Huo ndiyo msimamo na uelewa lakini wewe mtu wa media kila siku unalia lia na Chadema hainogi hebu wasikilize kwanza hawa wandugu .

Mzee Lunyungu, afanyacho Kibonde wala si cha ajabu na havunji miiko yoyote ile ya fani yake. Yeye ni talk show host na talk show hosts wanaruhusiwa kuwa na opinion.

Hivi umewahi kumuona au kumsikia Kibonde akisoma taarifa ya habari au akitoa ripoti kwenye kipindi cha taarifa ya habari? Kama umewahi kumuona, je alichomekea maoni yake kuhusiana na kile alichokuwa akikiripoti?

Nijuavyo mimi, talk shows nyingi hujadili matukio ya siku (yaliyomo kwenye magazeti na vyombo vingine vya habari) yaliyojiri na kuripotiwa na vyombo vya habari.

Na kwa asili ya talk show yake (interactive or semi-interactive) inanoga zaidi pale ambapo host au ma-hosts wanapokuwa na opinions zao. Kwa hiyo Kibonde ana haki zote za kuwa pro-CCM au pro chama chochote kile akipendacho.

Tatizo humu ndani wamejaa wanazi wa CHADEMA/ upinzani. Lakini kama Kibonde angekuwa anti-CCM ungeona sifa ambazo angekuwa anamiminiwa. But I understand it comes with the territory. Ila ya kusema Kibonde sijui anakiuka taratibu au miiko ya fani ni ufinyu wa ufahamu kuhusu tasnia ya habari kwa ujumla.
 
wee ritz huna hakika na habari zako,sugu kakaa uk miaka mingi,unasemaje?
Rosemarie, unadhani kukaa ungereza ndio kujua kingereza! labda kama umekwenda kusoma itabidi kwanza ujifunze lugha, Sugu alikwenda uingereza kutafuta kibarua kama unavyojua kupata kibarua uingereza wala sio lazima ujue lugha kazi zenyewe kubeba mabox, kutandika vitanda vya mahoteli, kuokota mayai ya kuku wakati wametaga, kupiga deki supermarket, kuwalea wazee, hizo ni baadhi ya kazi za huko uingereza wala sio lazima ujue kingereza
 
hivi mnamjadili kibonde kama nani? Hapa tanzania hana tendi uneni,mwacheni mpampa umaarufu mchambua taarabu,japo ninakubali sana redio yake
 
Mzee Lunyungu, afanyacho Kibonde wala si cha ajabu na havunji miiko yoyote ile ya fani yake. Yeye ni talk show host na talk show hosts wanaruhusiwa kuwa na opinion.

Hivi umewahi kumuona au kumsikia Kibonde akisoma taarifa ya habari au akitoa ripoti kwenye kipindi cha taarifa ya habari? Kama umewahi kumuona, je alichomekea maoni yake kuhusiana na kile alichokuwa akikiripoti?

Nijuavyo mimi, talk shows nyingi hujadili matukio ya siku (yaliyomo kwenye magazeti na vyombo vingine vya habari) yaliyojiri na kuripotiwa na vyombo vya habari.

Na kwa asili ya talk show yake (interactive or semi-interactive) inanoga zaidi pale ambapo host au ma-hosts wanapokuwa na opinions zao. Kwa hiyo Kibonde ana haki zote za kuwa pro-CCM au pro chama chochote kile akipendacho.

Tatizo humu ndani wamejaa wanazi wa CHADEMA/ upinzani. Lakini kama Kibonde angekuwa anti-CCM ungeona sifa ambazo angekuwa anamiminiwa. But I understand it comes with the territory. Ila ya kusema Kibonde sijui anakiuka taratibu au miiko ya fani ni ufinyu wa ufahamu kuhusu tasnia ya habari kwa ujumla.

I 100% concur with you mpwa!!! Kwanzan kabisa nataka niseme Kibonde anayo haki ya kuwa mwanachama/shabiki/mnazi wa chama chochote cha siasa TZ. Yeye amechagu kuwa pro-CCM, nadhani inatakiwa umamuzi wake uheshimiwe!!!

Pili KIBONDE anajaribu kufanya vile commentator wanafanya, bila ya weledi!!! Kwa hiyo kwa makosa na extremes zinazotokea mimi huwa sishangai, surely anajitahidi na wenzanke wale pale ndani!!!

Pia kwa wana JF wooote wasiokuwa wananzi wa KIBONDE, waache kusikiliza Clouds akiwa kwenye kipindi, hiziz kejeli hazisaidii, sana sana zinaondoa hadhi ya kuwa GREAT THINKER!!!

Mwachi kidonde bana, hata kama ni mwathirika, ni personal life yake.
 
Halafu huyu jamaa kupitia redio hiyo hiyo ndo aliyekuza sana swala la udini wakati wa uchaguzi.
Nadhani anatakiwa kuonywa au kutolewa kafara maana watu kama hawa walikuwapo wengi na wamepita ila tanzania na watu wake bado ipo.
 
Mzee Lunyungu, afanyacho Kibonde wala si cha ajabu na havunji miiko yoyote ile ya fani yake. Yeye ni talk show host na talk show hosts wanaruhusiwa kuwa na opinion.

Hivi umewahi kumuona au kumsikia Kibonde akisoma taarifa ya habari au akitoa ripoti kwenye kipindi cha taarifa ya habari? Kama umewahi kumuona, je alichomekea maoni yake kuhusiana na kile alichokuwa akikiripoti?

Nijuavyo mimi, talk shows nyingi hujadili matukio ya siku (yaliyomo kwenye magazeti na vyombo vingine vya habari) yaliyojiri na kuripotiwa na vyombo vya habari.

Na kwa asili ya talk show yake (interactive or semi-interactive) inanoga zaidi pale ambapo host au ma-hosts wanapokuwa na opinions zao. Kwa hiyo Kibonde ana haki zote za kuwa pro-CCM au pro chama chochote kile akipendacho.

Tatizo humu ndani wamejaa wanazi wa CHADEMA/ upinzani. Lakini kama Kibonde angekuwa anti-CCM ungeona sifa ambazo angekuwa anamiminiwa. But I understand it comes with the territory. Ila ya kusema Kibonde sijui anakiuka taratibu au miiko ya fani ni ufinyu wa ufahamu kuhusu tasnia ya habari kwa ujumla.


Mkuu me ntakuelewa vyema kwa hayo uliyosema hatukatai mtu ku support side yake ila kuna mijadala mingine kibonde kama Kibonde ka upeo wake na kisomo chake na ujana wake huwezi ukasupport upuuzi uilifanywa na serikali hata mtu ambae hajasoma kama yeye anaona hapo serikali imechemka yeye anaweza kuifanya ati kahamia ile side nae anajifanya yuko kundi la hao wenye mawzo ya ajabu na akasupport ili tu ajifanye kuwa kila mtu ana uhuru wa kujieleza. mbona wakina PJ,Hando asubuhi hutoa mada zao in Positive and Negative na kama ni jambo la kuuliza au kuwa na alama ya mshangao wanalifanya hivyo hivyo kulipokea jambo kama uko kwenye jamii itakavyopokea kwa aslimia kubwa.

Watu wakimsema kibonde kanunulia sito shangaa tena atakuwa side ya Ridhwani kwani ndie kawashika vijana wajinga wajinga fulani wakidhani watatoka nae next election hiyo itakuwa imekula kwao mazima.

Swali mmoja tu kwa kibonde je yeye ni MZALENDO WA KWELI NA ANATAKA MABADILIKO HATA KAMA YUKO CCM?

Mwl.Nyerere alikuwa anaipinga serikali yake anaisema lakini ni wazi anaonekana mzalendo, menadhani kibonde awe anajitolea maoni yake yeye kama yeye asifanye kuwashawishi watu wakubaliane na maoni yake yeye aseme ndivyo yeye adhanianyo na atuachie nasi tuonavyo
 
Mimi sipingi kwa Kibonde kukosolewa kwenye substance. Ninachopinga ni watu kusema anakiuka fani yake na hachukuliwi hatua. Kusema hivyo ni kutokuielewa fani nzima ya habari.

Na kusema kuwa eti sijui anapotosha, well, anampotosha nani wakati mtu anatoa maoni yake? Wewe kama unaona anapotosha acha kumsikiliza. Just turn the dial. Simple as that.
 
Naona mnapoteza tu muda hapa Jina lake linadhihirisha wazi Kibonde=0, Kwani hata shuleni ndio luga inayotumika, naona hata wazazi wake walijua kuwa hawezi chochote bila msaada ndio maana wakampa hilo jina
 
Kibonde kweli ni pumba! Lakini kuwa mbunge wa Tanzania mpaka ujue Kingereza katiba ndio inasema hivyo? Hawa ni baadhi ya wabunge hawafahamu Kingereza.Lema, Komba, Sugu, Azzan, Selasini, Mbowe, Lukuvi

Una hakika na maneno yako Sugu, Lema, Mbowe, Lukuvi na Selasini hawajui kiingereza? Usitumwagie upupu hapa labda Azzan wa Magamba.
 
Nashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu..

Kibonde kulikoni?

Huyu bwana kibonde hana maana kweli. Matusi mkononi na kazi ya kutongoza na kulala na vitoto vidogo vya THT. Yeye na sura kaa SHETANI fisadi mnyonyaji Ruge Mutahaba
 
Cha msingi awe makini na fani yake, yasijemkuta ya Joshua Arap Sang wa Kenya.
 
Nashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu..

Kibonde kulikoni?
propaganda na uwenezi I think
 
Nashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu..

Kibonde kulikoni?

Kibonde is a CCM's PR officer!
 
Ubunge apate kibonde? Jamaa mwenyewe kiingereza chenyewe hajui za kuomba maji na usharobaro wa mjini. Yule jamaa hana kabisa kichwani... hana, niaminie, linajifanya kujua tu. Si unaona mada zake?
Usharobaro ni nini?Je wewe ni mtangazaji pia? Au upo kwenye mambo ya tv au redio?
 
Back
Top Bottom