johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Ningependa tu kujua mtu anayefahamika kwa jina la Nyagali Mdude ana cheo gani katika viunga vya Ufipa kwenye chama kikuu cha upinzani Chadema?
Matamko dhidi ya huyo Mdude kutoka CCM yamekuwa mengi so ingependeza zaidi kama tutapata wasifu wake wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaaluma.
Isijekuwa ni type ya Kibajaj na Kinanasi wa pale Lumumba.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Matamko dhidi ya huyo Mdude kutoka CCM yamekuwa mengi so ingependeza zaidi kama tutapata wasifu wake wa kijamii, kisiasa, kiuchumi na kitaaluma.
Isijekuwa ni type ya Kibajaj na Kinanasi wa pale Lumumba.
Nawasalimu kwa jina la JMT!