Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Nashindwa kuelewa kwamba Ephrahim Kibonde ana cheo gani ndani ya CCM? Kwa maana kila wanachokisema CHADEMA yeye ndo wa kwanza redioni kukipinga sipokuwa mada za ZITTO. Naombeni mnijuze kwamna Kibonde ana mamlaka gani ndani ya CCM au Serikalini. Kwa maana kama mwandishi wa habari, tena kanjanja, Kibonde angefuata maadili ya uandishi bila kuwa mshabiki. Maneno kama ya wakina kibonde ya uchochezi redioni ndiyo yaliyoleta machafuko nchini Rwanda.Muda mwingine Kibonde anatukana watu redioni bila aibu..
Kibonde kulikoni?
NB: Wanaosema kwamba mimi ni mwana CHADEMA, Kwa taarifa yenu, hapana mimi ni CCM Damu tena wadhifa mkubwa UV-CCM. Nakerwa tu na maneno ya huyu Jamaa. Anaboa Sana. abadilike, Kwanza anatuharibia CCM wakati tunapotaka kuweka mambo sawa. Hatutaki Ushabiki na ukimbelemble bali Hoja
Kibonde kulikoni?
NB: Wanaosema kwamba mimi ni mwana CHADEMA, Kwa taarifa yenu, hapana mimi ni CCM Damu tena wadhifa mkubwa UV-CCM. Nakerwa tu na maneno ya huyu Jamaa. Anaboa Sana. abadilike, Kwanza anatuharibia CCM wakati tunapotaka kuweka mambo sawa. Hatutaki Ushabiki na ukimbelemble bali Hoja