GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Niko sehemu mara jahazi limeanza sina jinsi nalazimika kumsikiliza huyu jamaa. Ni maoni ya upinzani kuhusu muda wa elimu ya msingi kuongezwa. Jamaa wamependekeza dozi ya elimu ya msingi iongeezwe coz wanavijiji kibao ndo wanaishia hapo, halafu four na six ziunganishwe ziwe miaka miwili. Mda wa shule unabakia palepale suala ni huyu mtoto apige na ma VETA hukohuko shule ya msingi. Sina uhakika kama kibonde ameelewa. Suala nafikiri kisa ni point ya upinzani
Jitoe JF wewe umejiunga juzi tu na unaleta utumbo tena , hutufai jitoe !