Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Hahaha kwendaaaNa mie ndio nilikuwa nataka nikuulize nilijua labda umemfungia sehem
Kwa kuwa sijajua kilichompata ndugu yangu.
Mara ya mwisho alisema anaenda kuhesabiwa ila mpaka leo kimya.
Ww mletee kaka etu banaa