Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,614
- 67,078
Thanks, Hakika M/Mungu atakuwa pamoja nasi.Aisee basi inshaalah mwenyez mungu
atutangulie...
Tudumishe umoja huu
Nitakupenda kama ninavo jipenda mwenyewe.
So help me God
Thanks, Hakika M/Mungu atakuwa pamoja nasi.Aisee basi inshaalah mwenyez mungu
atutangulie...
Tudumishe umoja huu
ntabadilisha maamuzThanks, Hakika M/Mungu atakuwa pamoja nasi.
Nitakupenda kama ninavo jipenda mwenyewe.
So help me God
Hakuna mzee Butiku hapo? kaunda nyeupe!Nje ya Mwandosya hao wengine nimetoka kapa.
Halafu...mbona wale wa suti nyeusi siwaoni...au
Aaah!ntabadilisha maamuz
people were humble and loyal...... full adabu
Huyo mzee mwenye kaunda nyeupe anaonekana mnaa sanaa...
wapo hapo baadhi....sema mapindi hayo walikuwa full cover....Nje ya Mwandosya hao wengine nimetoka kapa.
Halafu...mbona wale wa suti nyeusi siwaoni...au
kumbe na wewe ni kigagula.. ....??..Enzi hizo unaa ndiyo ulikuwa kwao, ilifika wakati mume hamuamini mke na mke hamuamini mume.
Tuulize tuliokuwepo.
Tena vijana wa sasa mna bahati sana, tuliokuwepo enzi hizo tungali hai, miaka michache ijayo mtakuwa mnasomeshwa ujinga tu kuhusu enzi hizo , at least sasa mnao eye witnesses na mnaweza kutuuliza chochote ili muielewe kweli.
bora umesaidia... ...wamejisahau na kuanzishiana mistari hapahapa.... ...!!!...Iceman na Aishah mnaharibu thread,
Ukiondoa Mwandosya na Mwl Nyerere, hao wengine ni akina nani?
Walikuwa na vyeo vyovyote serikalini?