Enzi zileeeeee

Enzi zileeeeee

Wa kusoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3,454
Reaction score
2,984
Najua ulisoma shule za ufagio na kidumu cha maji, Utakuwa si mgeni wa;

-Pamela na kipini,

-Siku ya gulio,

-Watoto wageuka mawe,

-Mkutano wa wanyama,

-Nani atamfunga paka kengele,

-Muwa uliozamisha meli,

-Sadiki na Chitemo,

-Jogoo wa ajabu,

-Mpapai na mtete,

-Kuku na yai,

-La!La!Laaaa,

-Punda wa dobi,

Hapo vipi unakumbuka wapi?
 
Wadau mi nakumbuka chapter ya - "Nani atamfunga paka kengele??" hapo namwona panya mabaka,panya mwekundu, enhee na panya buku. JITIHADA: wakaanzisha njia za kwenye miiba...
 
sikuelewi
tola
mfalme ana masikio marefu km punda(dunia haina siri)
 
Najua ulisoma shule za ufagio na kidumu cha maji, Utakuwa si mgeni wa;

-Pamela na kipini,

-Siku ya gulio,

-Watoto wageuka mawe,

-Mkutano wa wanyama,

-Nani atamfunga paka kengele,

-Muwa uliozamisha meli,

-Sadiki na Chitemo,

-Jogoo wa ajabu,

-Mpapai na mtete,

-Kuku na yai,

-La!La!Laaaa,

-Punda wa dobi,

Hapo vipi unakubmbuka wapi?
 
juma na uledi

Hivi ni kwenye stori hii limojawapo lilikuwa liongo likawa linamdanganya mwenzake kwamba babu yake ana ngoma kubwa kiasi kwamba watu wanaweza kucheza mpira timu mbili na watazamaji kibao lakini nafasi ikabaki.....!

Hizi stori zinaweza kuwa zimetuathiri watz na viongozi wetu wa vyama vya siasa na serikali,bado wanaamini kabisa wakitwambia tumboni mwa njiwa pana dhahabu kubwa kuzidi kichwa cha Machaku nasi tutaamini.
 
MOto na maji &Sitaki mbichi hizi

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom