Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,984
Najua ulisoma shule za ufagio na kidumu cha maji, Utakuwa si mgeni wa;
-Pamela na kipini,
-Siku ya gulio,
-Watoto wageuka mawe,
-Mkutano wa wanyama,
-Nani atamfunga paka kengele,
-Muwa uliozamisha meli,
-Sadiki na Chitemo,
-Jogoo wa ajabu,
-Mpapai na mtete,
-Kuku na yai,
-La!La!Laaaa,
-Punda wa dobi,
Hapo vipi unakumbuka wapi?
-Pamela na kipini,
-Siku ya gulio,
-Watoto wageuka mawe,
-Mkutano wa wanyama,
-Nani atamfunga paka kengele,
-Muwa uliozamisha meli,
-Sadiki na Chitemo,
-Jogoo wa ajabu,
-Mpapai na mtete,
-Kuku na yai,
-La!La!Laaaa,
-Punda wa dobi,
Hapo vipi unakumbuka wapi?