che wa Tz
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 277
- 71
Kibanga amkimbiza mkolon na nondo mla watu
daaaahhh...mkuu umenikumbusha mbali kishenzi. Hivi vitabu ni kabla hata hivi vya akina Hawafu shujaa havijaja kuvireplace
Kibanga amkimbiza mkolon na nondo mla watu
kibanga ampiga mkoloniNajua ulisoma shule za ufagio na kidumu cha maji, Utakuwa si mgeni wa;
-Pamela na kipini,
-Siku ya gulio,
-Watoto wageuka mawe,
-Mkutano wa wanyama,
-Nani atamfunga paka kengele,
-Muwa uliozamisha meli,
-Sadiki na Chitemo,
-Jogoo wa ajabu,
-Mpapai na mtete,
-Kuku na yai,
-La!La!Laaaa,
-Punda wa dobi,
Hapo vipi unakumbuka wapi?