N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
sasa kuna moja kali wakati nimemaliza darasa la saba nasubiri kuingia form one kuna jamaa mmoja alikuwa kanizidi umri kidogo yeye alikuwa na demu wake akaniambia nimsindikize ilikuwa kama saa 2 usiku, basi jamaa akamwita demu kutoka kwao tukaenda pembeni akawa anabambia kama hatua kumi mbele ya pale napomsubiri nilikuwa naona kwa mbali jamaa akawa anapiga denda huku anamchezea mashine, baadae wakaagana akarudi yule demu akarudi kwao sasa wakati tunarudi nikawa namuuliza mbunye uwa ikoje basi jamaa akaninusisha ule mkono aliokuwa anachezea mbunye ili nisikie harufu ya mbunye
unaambiwa kwa mara ya kwanza siku ile nilienda winga (kusimamisha) mpaka nilipofika home ikabidi nikae kidogo nje mpaka mashine ilipopoa (kama nusu saa hivi) ndio nikaingia home maana kikaptula chote kilikuwa kimepelekwa mbele
Tasavali Pretty wengine majina kufanana, binafsi najijua sina kashfa hiyo ila wadau wengine wanaweza kuniungisha, lakini usitaje na ubini waweza vunja ndoa.........Wanaume mna vituko kweli kweli, nimesoma maoni ya watu hapa hadi na mie nimekumbuka enzi hizo. Nakumbuka mwaka 1995 nilikuwa darasa la 4 basi mwenyewe ndio mtoto sijui lolote,kuna mkaka alikuwa anasoma darasa la 6, akaandika barua kwamba ananipenda na kumpa rafiki yake aniletee. Ndani ya hiyo barua alikuwa kaweka Tsh. 100 ya noti ya enzi hizo.........basi mimi nilisoma hiyo barua na kukuta mwenyewe kachora ua na kusema kwamba ananipenda. Ila mimi kwenye akili yangu wala sikuwa na uelewa nini haswa anamaanisha, basi baada ya kuisoma ile barua nikaamua kwenda kumpa mama yangu.
Mama akaanza kuniuliza ni nani kakupa hii barua? Nikamjibu kuna mtu nasoma naye ndiye aliyonipa hiyo barua kule shuleni...........basi kesho yake asubuhi mama akanipeleka shuleni hadi kwa mkuu wa shule na kumuita yule kijana aliyetumwa kunipa barua ili amtaje ni nani aliyompa barua ili aniletee. Yule kijana akamtaja jina huyo mkaka aliyekuwa darasa la 6 kwamba ndiyo aliyompa barua. Yule kijana alikuwa akiitwa Nelly alichapwa bakora 6 kutoka kwa mkuu wa shule.
Naona wengi mnaenda anga za mapenzi.Hakuna kumbukumbu nyingine?
Mie nakumbuka nilivyokuwa naiba migagi na wenzangu kwenye shamba la shule.
na kuna ile mtu anakutekenya kwa nyuma kwenye mbavu unaruka unaweza hata kuvunja dawati halafu tulikuwa tunahusisha na nyeg*nimecheka sanaaaa. mie nakumbuka vijana wa enzi zetu walikuwa wanapenda kushika vititi vyetu yaani ukikutana nae popote ambapo hakuna mtu lazima ashike titi.
Nyani ngabu umenikumbusha mbali sana mie nilikuwa nashinda Pool Side na sox langu kichwani jamaa wa Kwanza alikuwa anaitwa D Rob unawakumbuka kina Sindila, Othmani Njaidi, Ephraim Kibonde (4 Crews Flava), kuna demu mmoja alikuwa anavaa kama Ahaliyah. Enzi hizo tulikuwa tunaruka kwanja nyimbo za kina Daz Efx, Lords of Undergroung huku baadhi ya watu wamemzunguka Bony Luv wanamcheki anavyo scratch ma LP. Enzi zile wale kina Inspector walikuwa wadogo sanaHalafu zikaja enzi zile za miaka ya 90 mwanzoni...enzi za Kriss Kross....ma jeans ya rangi rangi...ma jeans ya Karl Kani (nani anakumbuka hii clothing line?)....watu tulikuwa tunaenda pool side tumevalia wenyewe ma jeans ya mirangi rangi kibao...kijani..sijui nyekundu....na mabuti kama Naughty By Nature....aaah them good 'ol days
Nani anawakumbuka Kwanza Unit...kina Nigga One...Easy B (huyu alikuja kuwa teja), Rhymson...halafu kuna kajamaa kengine kadogo dogo hivi nimekasahau jina....
Nani anakumbuka wimbo wa Oyaa msela oyaaaa?
sasa kuna moja kali wakati nimemaliza darasa la saba nasubiri kuingia form one kuna jamaa mmoja alikuwa kanizidi umri kidogo yeye alikuwa na demu wake akaniambia nimsindikize ilikuwa kama saa 2 usiku, basi jamaa akamwita demu kutoka kwao tukaenda pembeni akawa anabambia kama hatua kumi mbele ya pale napomsubiri nilikuwa naona kwa mbali jamaa akawa anapiga denda huku anamchezea mashine, baadae wakaagana akarudi yule demu akarudi kwao sasa wakati tunarudi nikawa namuuliza mbunye uwa ikoje basi jamaa akaninusisha ule mkono aliokuwa anachezea mbunye ili nisikie harufu ya mbunye
unaambiwa kwa mara ya kwanza siku ile nilienda winga (kusimamisha) mpaka nilipofika home ikabidi nikae kidogo nje mpaka mashine ilipopoa (kama nusu saa hivi) ndio nikaingia home maana kikaptula chote kilikuwa kimepelekwa mbele