N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 556
Duh kaazi kwer kwer Njenje wa Jitegemee, na Capt Ngajua enzi hizo ukikosa anakwambia "Shika Pu..u" kama adhabu, Wajadi na Sabini walikua wanatoa dozi ya viboko utafikiri walikua wanafanyiwa KPA ya kuchapa, ukisikia waitana Mjomba ujue balaa ndani ya class, Jitengeni Kihurio Mzee Zayumba na fegi zake RIP man