Mkereketwa
JF-Expert Member
- May 19, 2007
- 202
- 25
Umenikumbusha mbali sana, nilisoma Mwakaleli miaka ya 1995 (A Level) kuna mwalimu mmoja alikuwa mtaalamu wa Biology O - Level, hivyo vijana walimuita AMOEBA (Amiba) kwa jinsi alikuwa mtaalamu wa somo hilo lakini pia alivyokuwa rough.