Ndio maana korona haiishi kumbe kuna watu walikula nzi huko kipindi cha nyumaUnasubiri watoke kwenye shimoView attachment 1680713
Ndio maana korona haiishi kumbe kuna watu walikula nzi huko kipindi cha nyuma
Usisingizie enzi za utoto sema tu kwenu huko hamchagui mnajilia tu utoto gani huo ule wadudu hao? Ndio kwanza nawaona leo umekulia wapi mwenzetuNdio maana korona haiishi kumbe kuna watu walikula nzi huko kipindi cha nyuma
Izi si ni zile mende za chooni aisee?Unasubiri watoke kwenye shimoView attachment 1680713
Hasa iringa,nimewahi kula kwa bibiHaya tunayaita mang'eng'e
Unakuta demu mkali halafu anakupigia mabichi hayo
Kigoma hiyo 😁😁😁Vitemvu😀
😎😀Kigoma hiyo 😁😁😁
Hiv hawa wadudu siku hizi walipoteleaga wapi.nimekula sana hawa wadudu wakiwa wabichi hivyo hivyo ,watamu sana aisee wana mafuta pia.unasubiri anatoka unamchukua unakulaUnasubiri watoke kwenye shimoView attachment 1680713
Home tunawaita makorongochi .Unasubiri watoke kwenye shimoView attachment 1680713