Enzi ulipokuwa boarding


mbavu zangu mieee....

hii ya kudoji mchakamchaka ilinikuta tena nikiwa uchi wa mnyama naoga nyuma ya bweni kwenye ile sehemu ya kufulia nguo. basi nikajificha chini ya uvungu wa masink, i was ki-portable then kwa hiyo niliweza ku-fit. mwenzangu niliyekuwa naye alikuwa tipwa tipwa so akashindwa kujificha huko uvunguni so akaambulia viboko vya mwalimu wa zamu. imagine alichapwa akiwa uchi tena amelowa. ila namshukuru sana hakunitaja maana sijui nigeliaje siku hiyo!
 
Mambo ya table lida na misosi ya shule sijui nkikumbuka napata aidia kwamba ufisadi ulianza kitambo sana na karibia kila mtz ni fisadi tu..

umeona eeeh.

kuna table leader wetu mmoja wa kijaluo yeye alikuwa anaweka obvious kabisa. yaani kale kabakuli ka kupimia wali ikifika kwake anakashindilia balaa wote tunamwangalia wala hatusemi kitu
 

Jamani mazengo to msalato ni mbali sana....ama kweli watu mlipata kisingizio!
 


hahahahahahah!
 
umeona eeeh.

kuna table leader wetu mmoja wa kijaluo yeye alikuwa anaweka obvious kabisa. yaani kale kabakuli ka kupimia wali ikifika kwake anakashindilia balaa wote tunamwangalia wala hatusemi kitu
labda alikua anahakikisha anashiba vyema ili aweze kukitumikia vyema cheo chake cha utebo lida..
 
Umenikumbusha enzi hizo nasoma mlimanicity high school, yani madarasa yetu yalikuwa pale samaki samaki! Alaf pale kwenye parking ndio zilikuwa bustani zetu! Nakumbuka pale vodashop ndio lilikuwa dom langu niliteseka sana kufata maji the game!

Sito sahau enzi hizo
 
n'shomire una vituko !! kha!
 
Hii ilikua mwaka gani mkuu usije ukawa ulikua classmate wangu, pale shoprite ulikua uwanja wetu wa basket!
 
Nilikuwa napenda kula ukoko wa ugali na wali enzi hizo form 1....Wangapi tumekula?
 
enzi nipo songea boys kuna cku 2kiwa wa2 km kumi 2metoroka shule njiani 2kaona toyota double cabin 2kasimamisha 2kapanda ile kwenda mbele 2kamuona mwalimu wa nidhamu anasimamisha ile gari ili apate lifti basi ile gari kabla haijasimama vizuri wa2 wote 2liruka km maninja 2kaingia zetu porini
 
Siku ya mtihani wadarasa la saba, form njuka wanakatwa mikia ili kutoka kwenye hali ya viluwuluwi na kuwa vyura kamili. Yaani form njuka watukutu walichezea kichapo balaa na uongozi wa shule uliruhusu. WALIOSOMA KIBITI SEC WANAELEWA HIYO.
 
Nakumbuka seminarini dah ilikuwa balaa ukiwa njuka
 
Mwanangu wewe ulimaliza Pugu boys mwaka gani maana mimi nimemaliza mwaka 2008 form iv.
 

wee kweli ni mtoto, kwenye kundi la mamba wewe ni keng.e
 
nakumbuka sana tabora girls nlipokuwa form2 tuliwazomea milambo kwny mechi kesho yake ilikua jmoc wakatulipizia wakatualika disco afu wakawa wanacheza na wadada wa mtaani luckily j2 kukawa na joint mass kwetu basi watu wakaandaa timu ya kuzomea yani walizomea balaa,usku sasa milambo walitembeza kichapo na kumwaga mavi mabwenini..watu waliumia sana hasa 4m5 walokua wageni
 
sitosahau jamaa moja alichomwa kisu pale pale stadium Arusha kipindi hicho kulikua na tour ya bongo records na ugali wa juma nature hakika sitosahau by then nilikua shule 1 ya vipaji Arusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…