Du kweli mmenikumbusha mafuta ya shanti halafu soda DOUBLE COLA mnaikumbuka?
Du kweli mmenikumbusha mafuta ya shanti halafu soda DOUBLE COLA mnaikumbuka?
Yap! Ilikuwa na gesi balaa; ukiinywea maandazi ndio usiseme! Kiwanda kwa hapa bongo kilikuwa Mwanza nakumbuka :becky: