Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Enzi hizo kama baba wa taifa anafanya ziara eneo lenu mnajipanga barabarani kuanzia asubuhi kumsubiri yeye,maduka shule masoko na shughuli nyingine zinasimama! Siku hizi nani ana muda na magamba ,nimetoka Ban wapendwa baada ya kutofautiana hoja na Gamba ,unazikumbuka enzi zozote ??