Enzi hizo.,.....!

Enzi hizo.,.....!

Safety last

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
4,242
Reaction score
1,429
Enzi hizo kama baba wa taifa anafanya ziara eneo lenu mnajipanga barabarani kuanzia asubuhi kumsubiri yeye,maduka shule masoko na shughuli nyingine zinasimama! Siku hizi nani ana muda na magamba ,nimetoka Ban wapendwa baada ya kutofautiana hoja na Gamba ,unazikumbuka enzi zozote ??
 
Enzi hizo kama baba wa taifa anafanya ziara eneo lenu mnajipanga barabarani kuanzia asubuhi kumsubiri yeye,maduka shule masoko na shughuli nyingine zinasimama! Siku hizi nani ana muda na magamba ,nimetoka Ban wapendwa baada ya kutofautiana hoja na Gamba ,unazikumbuka enzi zozote ??
Mie nilimaliza ban juzi, juzi so tuko wengi!
 
Mie nilimaliza ban juzi, juzi so tuko wengi!

mie jana ndo nilimaliza likizo yangu ya siku 4, kisa nilile jina la siku zote tunalomuita mh.spika, siwezi kuliandika maana sitaki likizo tena.
 
Back
Top Bottom