mdida
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 1,607
- 772
Mapenzi hayajaribiwi ndugu.mie nimemjaribu mwanamke kupima upendo wake kwangu kama wa kweli au uongo wengi wameshindwa
Mapenzi hayajaribiwi ndugu.mie nimemjaribu mwanamke kupima upendo wake kwangu kama wa kweli au uongo wengi wameshindwa
Ni baada ya kuitwa Beijing,,,Kweli maisha yanabadilika wandugu hali ya sasa kwenye mapenzi siyo kama zamani,enzi hizo ukimpenda mwanamke halafu mkatibuana ukimuambia kuanzia leo mimi nawewe mapenzi yetu yamekwisha basi hapo mwanamke atalia vibaya mno mpaka utamuonea huruma lakini kwa hali ilivyo sasa ukimuambia tuachane tu anakujibu poa kwaheri na hakutafuti tena
MWISHO: kweli mapenzi ya zamani zamani mpaka nimeyamisi kwakweli
unesema kweli dada ila naomba nikuulize kwanini mapenzi yasasa siyakuoanaSasa hivi mioyo ya wanawake imeanza kujeruhiwa tangu akiwa hajavunja ungo mpaka ulipomkutia wewe tayari moyo wake umeshaota sugu una magaga kabisaa hivyo ukimwambia tuachane jibu lake linakua For good
wanachagizwa na mtonyo...bora hata enzi hizonikwenda nao sawa
zama zimebadilika sasa mkuuenzi hizo hata usipokuwa na pesa unamiliki mwanamke mzuri kweli kweli
Yaah.. kama true love ilikuwepo tena ya kutosha, pale mnapokwazana ni rahisi tu kusamehana..lakini hatakama ukikwazana na mpenzi wako kama mmeshindwa kupatana basi hapo hakukuwa na mapenzi kabisaa