Labda mwaka juzi kurudi nyuma ila kipindi hiki wanaweka na maturubai kabisa kama kafiwa na nduguye.
Upendo umepoa sana zama hizi. Maandiko matakatifu yanataja suala la kupoa kama moja ya dalili za siku za Mwisho.
kumbeeeeeeeKashalizwa na wakwanza .... Wapili nakuendelea keshazoea hivyo ukimwambia leo mimi na wewe basi anachukulia poa .....alipoachwa na wakwanza alilia weee mpaka machozi ya kulilia mwanaume yakaisha labda kama anayo basi ni ya makwazo kazini kwake....
Kuna ukweli sana hapa!ukiwa kapuku anakujibu poa na mnaachana ila ukiwa na maisha ya kueleweka.. analia na vikao hadi kwa ndugu ili asiachwe
Utaelewa tu mbona keep calm mkuuSiku za mwisho ni upupu gan braza