Entebbe express way

Entebbe express way

AKASINOZO

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
1,367
Reaction score
2,219
Hii ingekuwa Bongo sijui kama wangelilala

IMG_20200622_113552.jpeg
IMG_20200622_113600.jpeg
IMG_20200622_113557.jpeg
IMG_20200622_113554.jpeg
 
Limuseveni Napo sometimes lipo vizuri
 
Alafu mbona kama zimejengwa mashambani. Nnavyo elewa mimi hizi zinakuwaga town sehemu penye msongamano mkubwa wa magari
 
Alafu mbona kama zimejengwa mashambani. Nnavyo elewa mimi hizi zinakuwaga town sehemu penye msongamano mkubwa wa magari
Hiyo ni Kampala to Entebbe expressway, inaunganisha majiji mawili makubwa kabisa ya Uganda. Nilipita hapo hatua za awali mwaka 2013, wameijenga pembeni ya ile iliyokuwepo. Museveni hapo kawapa kitu kizuri na kikubwa waganda.
 
Hiyo ni Kampala to Entebbe expressway, inaunganisha majiji mawili makubwa kabisa ya Uganda. Nilipita hapo hatua za awali mwaka 2013, wameijenga pembeni ya ile iliyokuwepo. Museveni hapo kawapa kitu kizuri na kikubwa waganda.
M7 yuko vizuri upstair
 
Back
Top Bottom