xavihernandezalcantara
Senior Member
- Nov 17, 2020
- 124
- 132
- Thread starter
-
- #81
Dah,Dah....Ngoja nirudi youtube...kwa lipi mkuu? unapoongelea Julio pengine unaongelea moja ya sauti ya kipekee kabisa ya mwanaume, ni legend of all time, enrique hajui kuimba anategemea tu computers, lete live show yoyote akiimba live.
kumbuka auto tune hata wewe inaweza kukufanya ukawa mkali hata kama una sauti mbaya.
Ulikuwa mcheza mpira Ila majeraha yakamfanya abadili career yakeFundi sanaa huyoo jamaaa
Ila anasura ya kimpira sana yani angefaa sana acheze nafasi ya kiungo kama farbegas
mkuu nafikiri hawa wapo vizazi viwili tofauti, waimbaji wote wa 90s kushuka ni genuine maana auto tune ilikuwa haijagunduliwa bado.Tukisema LIVE.. Sia anaingia kwa Mariah Carey?
Hilo pina kwikwi....dah Ciara at his best.🙌Takin back my love
Wasanii wa ulaya na America wapo vizur kwenye show zao na wengi wanatembea na band zao jukwaan anaimba live sio kuplay wimbo alaf afatilizie kama hawa wa bongo. We tafta ata show za akina pink uone tumkuu kwanza nikisema kuimba simaanishi studio version, namaanisha ujue kuimba real life.
sia anajua kuimba, angalia live show zake, nenda youtube tafuta chandelier live version yoyote msikilize utaelewa ninachotetea.
Hilo pina kwikwi....dah Ciara at his best.🙌Takin back my love
Kama Dingi aliimba kumzidi Enrique? Hata Michael Jackson hamkuti huyo Dingi....Yani Dingi zaidi hata ya M.JAnaesema Enrique hajui kuimba daah pole yake sana. Era haziwezi kufanana baba yake alikua bora wakati huo na Enrique ni bora kwa wakati wake haijalishi ni vifaa gani walitumia
😀Jamaa alikuwa vizur enz hizo nilitaka kitogo kumfananisha na marcus Hernandez sema
Kwasasa unasikiliza muziki wa sayari ya wapiKabla ya kumpokea Yesu maishani mwangu nilikuwa shabiki wa huyu jamaa,miaka takribani 7 iliyopita hivi sina time na mziki wa kidunia
Unamzungumziaje ALICIA KEYS... huyu bdo yupo na juzi tu katoa ngoma then mfananishe na huyo Sia.mkuu nafikiri hawa wapo vizazi viwili tofauti, waimbaji wote wa 90s kushuka ni genuine maana auto tune ilikuwa haijagunduliwa bado.
mimi nafananisha hawa wa sasa vizazi vya .com, na mariah baadae career yake ina scandal nyingi tu za kutumia playback.
Alicia keys vs Sia? Bado ntamchagua SIAUnamzungumziaje ALICIA KEYS... huyu bdo yupo na juzi tu katoa ngoma then mfananishe na huyo Sia.
Basi una mapenzi yako Binafsi na huupendi Mziki..Alicia keys vs Sia? Bado ntamchagua SIA
loh unataka ushahidi wa video? kuna wasanii feki kibao marekani,Wasanii wa ulaya na America wapo vizur kwenye show zao na wengi wanatembea na band zao jukwaan anaimba live sio kuplay wimbo alaf afatilizie kama hawa wa bongo. We tafta ata show za akina pink uone tu
Umeisahau MISS YOUEnrique Iglesias__Hero
Enrique Iglesias_Escap
Enrique Iglesias_Somebody Me
Enrique Iglesias__Why Not Me
Enrique Iglesias__Addicted
Enrique Iglesias__Only a Woman
Enrique iglesias Takin back my love ft Ciara.
Enrique Iglesias__Your my number One🙌🙌🙌
Enrique Iglesias ft Lonel Rich__ To Love a Woman.
Hizo ni baadhi ya Ngoma kali za Enrique Iglesias zile za Slow..
Ukitaka zile za KuParty.
Kuna
Bailando(English Version)
Subeme La Radio. N.k
Kwa sasa sijaona mtu hatari wa kumuweka mzani mmoja na huyo Mspanish.....Labda ED Sheeran Anaweza kujaribu....
Jamaa Atazeeka na ufundi wake.....Nani anaweza kuwa zaidi na hits kama za Enrique Iglesias kwenye Pop,Na Latin Pop...
Keys pia namkubali tokea No One🔥Basi una mapenzi yako Binafsi na huupendi Mziki..
Kwa ane Jua Mziki ni nini ALICIA ni FULL PACKAGE
Watajeloh unataka ushahidi wa video? kuna wasanii feki kibao marekani,
wana lip sync na autotune, mwanamuziki anaimba anatapika nyimbo inaendelea kuimba live, mwengine anaanguka nyimbo inaendelea kuimba, wanaojua kuimba live ni wachache kuliko fake.
Bora hiyo kuna mdundo nimeusahau unaitwa Heart Attack Weeee🙌Umeisahau MISS YOU
Cmu yako Aina gani?View attachment 1631002
Mapenzi yangu juu ya Mziki.. Simu tu ina Ngoma 5000+ bado mi playlist Non stop za kutosha.. 😊
Yupo na Nicole naniliuBora hiyo kuna mdundo nimeusahau unaitwa Heart Attack Weeee🙌