Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,010
- 156,361
Mimi ndo niliyakuta make yalianza tangu enzi hizooooo haha just kidding ..halafu mbona hio sura kwenye avatar inanitishaga sijui kwanini yan!Kwani na wewe yameshkukuta?
Mimi ndo niliyakuta make yalianza tangu enzi hizooooo haha just kidding ..halafu mbona hio sura kwenye avatar inanitishaga sijui kwanini yan!Kwani na wewe yameshkukuta?
Hivi hiyo avatar ni yako?Mimi ndo niliyakuta make yalianza tangu enzi hizooooo haha kidding
Yeah! Nahio niyako??Hivi hiyo avatar ni yako?
Hell yahYeah! Nahio niyako??
Inaonekana wewe huna ndoto. Ukiachana na Mapenzi kuna nn kingine ungependa kupata?Hi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point
Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.
ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana
Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.
Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena
em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya
ukitukana pia poa tu.
acha kabisahii kitu inasumbua sana inahitaji moyo nakupunguza wivu pia ukiwa na wivu ulopitiliza wafwa ,Mm mwenyewe ni muhanga wa hii ishu but naomba sana mungu anisaidie
Yanadumu sema yanaendana na kuchapiwa kiainaMapenzi ya mbali hayadumu kamwe.. Mark my word!
Kuteleza sio kuanguka jikaze usije teleza, maumivu uliyonayo ni sawa na kujikwaa na jiwe. Weka dawa kwenye kidonda kipate kupowa kuna siku maumivu yataondoka na utapata wa kukufurahisha maishani mwako.Hi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point
Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.
ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana
Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.
Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena
em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya
ukitukana pia poa tu.
CorrectionPole sana,
Kibinadamu, sio rahisi kusahau na kuachilia, sababu kwenye ulimwengu wa roho, tayari kuna kua na muunganiko.
Yale maneno mlipkua mkiambiana ni yalikua yanawaonganisha na kwa namna fulani, ni maagano.
Inabidi udhamirie umuombe Mungu, Umuombe akusamehe, na akujalie Neema na Nguvu yakuweza kumsahau huyo mtu.
Biblia inasema, Usiweke lulu kwenye pua ya nguruwe.
Usijichoshe dada, usiwe mtumwa wa mapenzi.
Mapenzi ni Kupendanda na wala sio "kupenda"
Sasa jitahidi utulie na kujituliza, umuache Mungu akuletee yule aliyebora na anae stahiri huo upendo ulionao moyoni mwako!!
Wacha nihifadhi kwa heshima yako tu.
Ndo hapo mtu akinogewa na tamu anaamua kuchonga mzinga kabisa.Yanadumu sema yanaendana na kuchapiwa kiaina
Pole sana umukagame,Hi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point
Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.
ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana
Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.
Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena
em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya
ukitukana pia poa tu.