Enough is enough maskini moyo wangu

Enough is enough maskini moyo wangu

Hi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point

Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.

ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana

Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.

Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena

em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya

ukitukana pia poa tu.
Ooooh poleee sana kaza moyo hata mm mpenzi wangu alinitesa sana but after give up niko poa nawewe kama vp mpotezee tu japo ni vigumu...,
 
Maumivu unayoyasikia kwa kiwango kikubwa ndio nguvu inayotumika kumsukuma mbali mwenza huyo! Ukipita hatua hii hakika utajiuliza hv ndio huyu niliyekuwa nam- mind, na kidha kucheka kwa dharau. Kwani atakuwa ameshadeletiwa na moyo wakoo!!
 
Pole shost...

Ili upate recover ya fasta, usipende kukaa peke yako, futa na block kila kitu chake,

Kumbuka mabaya yakee tuu!...utapona haraka tuu
 
maumivu ya mapenz ukiyaendesha hata kiuchumi husongi kamwe.
 
Aaaah utakua sawa tu just after two months max mm nilitendwa na girl nimpendae balaa niliumia sn ila sasa nikimuona nahis km nimeona dada yngu sina hisia nae kbisa waka hanishtui roho
 
Hata mie ningekuacha kwanini unisumbue makusudi?, alafu mwishoni mwa siku mnalegeza masharti, nikipata ile kitu sahau, lazima upigwe chini tu..
 
wewe upo nje alafu yeye yupo Tanzania? Si ndio?
 
Back
Top Bottom