namlengo wetu
Member
- Nov 25, 2016
- 52
- 36
Pole sana, usi mbloku na wewe. Ile kumuona ona ona itakufanya umuone wa kawaida pia utazowea haraka.
Doctor wa mapenzi ktk ubora wakoI dont see the connected dots to get a meaningful issue
Mtu aanzishe ugomvi then aseme utanikumbuka..how? Na katika mahusino yenu unasema mlikua mnaachana na kurudiana, katika ugomvi wenu unapotokea,,nani alikua anajishusha kwa mwenzie kutafuta good solution at the end? Embu kua muwazi.

Alikuwa sheli akijazwaHiyo "Filling" ni ya Petrol station au ?
Jipe moyo utampata tu anayekufaaHi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point
Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.
ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana
Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.
Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena
em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya
ukitukana pia poa tu.
Kwa hiyo yule mlevi na anaishi kwao mliachana, yule ambaye haeleweki pia mliachana, na huyu mzee wa visa pia mmeachana. Sasa mbona una experience ya kutosha unaangaika nini.?hatumii kilevi
mara zote mie ndiyo najirudi naomba msamaha even if kosa lilikuwa lakwake..hajui kukoseaI dont see the connected dots to get a meaningful issue
Mtu aanzishe ugomvi then aseme utanikumbuka..how? Na katika mahusino yenu unasema mlikua mnaachana na kurudiana, katika ugomvi wenu unapotokea,,nani alikua anajishusha kwa mwenzie kutafuta good solution at the end? Embu kua muwazi.
haya maneno yameniuma wacha niyamezeeeMapenzi ya mbali hayadumu kamwe.. Mark my word!
Me too.haya maneno yameniuma wacha niyamezeee
Hongera kama ni wewe kwenye hio pichaPole
Okey katika ugomvi wenu kama yeye ndo kasababisha why aseme utamkumbuka, what did you do to him to make him.say that...unajua neno zito sana hilo?mara zote mie ndiyo najirudi naomba msamaha even if kosa lilikuwa lakwake..hajui kukosea