hapana nashukuru sijawahi kuumizwa am happy with him ila tuuu "long distance relationship is killing me"Vp na ww mhanga mtarajiwa?
Ongeza maombi, lolote laweza kutokea.hapana nashukuru sijawahi kuumizwa am happy with him ila tuuu "long distance relationship is killing me"
Jiran ntaiweka wapi hio, wacha iende na maji.Sio yangu jirani,iokote tu
Jiran ntaiweka wapi hio, wacha iende na maji.
I know,u cant b herSidhan, am not the one
pole...u will get over it eventually...time heals they say...
Wacha nihifadhi kwa heshima yako tu.Ikienda na maji itakua hasara jaman
Hi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point
Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.
ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana
Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.
Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena
em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya
ukitukana pia poa tu.
hii kitu inasumbua sana inahitaji moyo nakupunguza wivu pia ukiwa na wivu ulopitiliza wafwa ,Mm mwenyewe ni muhanga wa hii ishu but naomba sana mungu anisaidiehapana nashukuru sijawahi kuumizwa am happy with him ila tuuu "long distance relationship is killing me"
MAnini?Yaleyaleeeeeeeeeeeeeeeeeee
Yanayokimbiza earth!MAnini?
Kwani na wewe yameshkukuta?Yanayokimbiza earth!