Enough is enough maskini moyo wangu

Enough is enough maskini moyo wangu

Ukinisumbua sana kukupata,tegemea hayo matokeo.
Unasumbua miaka 2 na zaidi,natumia gharama nyingi kukupata,siku ya kukukwangua nagundua kumbe huna jipya, nasepaaa fasta, huna thamani ya kugomea papuch muda mrefu hivyo
 
Hi wakuu!
Niende moja kwa moja to the point

Mwanzo nilimsumbua sana hadi kuja kunipata, baada ya kuwa pamoja nikazama mzima mzima binti wa watu, dah Nishamuweka moyoni, i loved him every moment.

ghafla kachange toka last year mawasiliano yakapungua of coz tunaishi mbali mbali after two month or one ndo kuonana.
tumeenda had two days ago kaanzisha kiugonvi kisichokuwa na kichwa wala miguu.
nikahisi naonewa nikamjibu it was nice known you. maisha mema. Akajibu utanikumbuka sana

Ni wengi wanaonipenda lakini siko na feeling na hata mmoja wao.. ninakopenda sipendwi.

Nimeamua kugive up na kumuv on sasa. nimefuta namba zake na block kila sehemu.
Roho inauma sana of coz bado nampenda leo na kesho lakini simuhitaji tena

em ukisoma hapa nipe japo neno la kunifariji maana siyo kwa maumivu haya

ukitukana pia poa tu.
Umerudi tena na vistory vyako!
 
Huu ni ukweli mchungu..
Sio kweli. Usipokua mwaminifu kwa mwenzio, ukawa na mapenzi ya uongo ya kinafiki, usipokua na mapenz ya dhati , usipokua na hofu ya Mungu ndani yako, na mara kwa mara kutafuta kila sababu muachane, basi hio statement ndo itakua kweli.
 
Inaonekana wewe huna ndoto. Ukiachana na Mapenzi kuna nn kingine ungependa kupata?

Hebu ji keep busy. Wanaume tuko wengi sana. Acha kujitesa kwa kuamini ulimpenda sana.

Give him a chance to learn from his own mistakes. Just like the way you do.

Hebu Jiamini. Badala ya kulalamika act like nothing happened. Hujawahi kufiwa wewe eenh?

Jisomee vitabu, Fanya Mazoezi. Jichanganye na watu wa rika lako. Nenda Club, Swimming, kwenye semina nk.

There is more than what you complain about in Life. Hebu mshinde shetani.
Asante kwa ushauri
 
Pole sana,


Kibinadamu, sio rahisi kusahau na kuachilia, sababu kwenye ulimwengu wa roho, tayari kuna kua na muunganiko.

Yale maneno mlipkua mkiambiana ni yalikua yanawaonganisha na kwa namna fulani, ni maagano.

Inabidi udhamirie umuombe Mungu, Umuombe akusamehe, na akujalie Neema na Nguvu yakuweza kumsahau huyo mtu.

Biblia inasema, Usiweke lulu kwenye pua ya nguruwe.

Usijichoshe dada, usiwe mtumwa wa mapenzi.

Mapenzi ni Kupendanda na wala sio "kupenda"

Sasa jitahidi utulie na kujituliza, umuache Mungu akuletee yule aliyebora na anae stahiri huo upendo ulionao moyoni mwako!!
Daaah! Mungu akubariki sana umenifanya nipate nguvu ghafla yani u made my day.Asante
 
Pole sana umukagame,
Nafahamu fika maumivu unayoyapata.
Cha msingi tumia muda wako kufanya kitu ukipendacho chenye kukupa furaha kuliko kukaa idle.

Na nina imani hata mwanaume pia huwa anapatwa na hali ya kumkumbuka mpenzi wake pale anapoona huyu mpya anavyopwaya. Hivyo inawezekana kabisa akawa wako bado cha msingi usiwe na maamuzi ya haraka.

Ila pia huu ni mchezo maarufu kuwakomoa wanawake wanaosumbua sanaa ambao baadhi ya wanaume wachache huucheza, pole kama ndivyo ilivyo maana yawezekana asiwe wako kwa kukukomoa sababu ya usumbufu wako.

NIKUTAKIE ASUBUHI NJEMA. PIA KUMBUKA WANA JF TUNAKUPENDA SANA.
ENDELEA KUTUSHIRIKISHA
Asante sana.
Mungu ananisaidia sijapauka, sijalia nipo imala sana.whot matter is time tu.
naamini every lovly thing has an end.
 
Pole sana, usi mbloku na wewe. Ile kumuona ona ona itakufanya umuone wa kawaida pia utazowea haraka.

Naungana nawe mkuu...
Ukigombana na mwenza wako Usikimbilie kumblock...hasa akina dadaa..
Wanaume sikuzote wanajirudi..hivyo utapaswa kumsikiliza hoja zakwanin alikimbia
 
Pole sana, jipe moyo ipo siku maumivu yote yataisha na utampata atakaekufanya ujione malkia. There is nothing that time can't heal
 
Back
Top Bottom