Last time napita hapa it was 1997 vumbi tupu, pembeni ya barabara wamejipanga watu wamevaa mashuka meusi usoni wamejipaka chokaa wanawasubiri wazungu wawape pesa, nilivyofika mto wa mbu nakuta dukani dola ya mmarekani inatumika kama inavyotumika shilingi ya mtz
Kalenga hotel
Huyu ndio wewe bujibuji? Mbona huna chura sasa
Mkuu rudi tena ukatembee kumependeza sana. Myo wa mbu napenda sana vile miti imefunika barabaraLast time napita hapa it was 1997 vumbi tupu, pembeni ya barabara wamejipanga watu wamevaa mashuka meusi usoni wamejipaka chokaa wanawasubiri wazungu wawape pesa, nilivyofika mto wa mbu nakuta dukani dola ya mmarekani inatumika kama inavyotumika shilingi ya mtz
Toa na mfano sasa....Umewahi kufika kusini mwa Tanzania na kuona mandhari yake? Jaribu kutembelea huko kwani unaonekana dunia yako imeishia kaskazini mwa nchi!!! Anyway, hongera kwa picha nzuri.
Toa na mfano sasa....
@ Bujibuji huyu mwandishi wa habari za Tanzia?Anataka nitoe mfano gani? Muombe BUJIBUJI akukaribishe uone mandhari ya huko kwao!
Huyo huyo!!@ Bujibuji huyu mwandishi wa habari za Tanzia?
Daah! Kumenoga hatari, nipo nchi za mbali ila nikirudi bongo Inshaallah nitapita pande hizo, ule mlima kutoka mto wa mbu kuibukia karatu nao una lami?Mkuu rudi tena ukatembee kumependeza sana. Myo wa mbu napenda sana vile miti imefunika barabara
View attachment 1736999View attachment 1737001
Picha zinafunguka wakipenda wao... Nashindwa kuinjoi mapicha photozHahahaha kwanini mkuu??
singidani or?Sivumi Ila nipoView attachment 1734444
Coco Beach dsmsingidani or?
mkuu Huku siyo usafwani...mbalizi -Utengule -??