Engineering haina issue kwa sasa

Tajiri Mapesa

JF-Expert Member
Feb 26, 2020
707
698
Wakuu nimeshituka saivi engineering sio issue tena kwasababu tutaishia kutumwa tu huku watu wa accounting, finance, procurement, HR, wakina madam Vero wanaingia ofisini na vipochi vimejaa lip sticks, na perfume na kuishia kukaa kwenye viyoyozi na kupokea, visimu vya mezani huku engineer anakuja na bonge la gubegi gumejaa PPE. (Buti kubwa, overall na liheliment).

Wakuu kiukweli ni matusi tupu kukesha kuwapelekea CV zetu HRS tulio wafunza hesabu olevel na advance wao waliwahi kulala sisi tukakesha na misuli. Leo ndio wanapima mishahara yetu.

Mbaya zaidi ukienda kwenye makampuni wanao pack vigari maofisini ni watu wa HR, ACCOUNTING AND FINANCE NA WATU WA PROCURE. Inauma sana wakuu.
 
Aisee kama unasoma engineering kuwa boss.. basi umekosea fani.
Engineer ni mtendaji.. mtekelezaji.. kwa wale wenye pashen ya kuvumbua na kutengeneza mambo fulani engineering inawafaa.
Kama ingekuwa haina ishu.. leo hii nafasi za kazi zingekuwa hazitangazwi kwa ma engineer.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mtendaji no technician au artisan
 
Wakuu nimeshituka saivi engineering sio issue tena kwasababu tutaishia kutumwa tu huku watu wa accounting, finance, procurement, HR, wakina madam Vero wanaingia ofisini na vipochi vimejaa lip sticks, na perfume na kuishia kukaa kwenye viyoyozi na kupokea, visimu vya mezani huku engineer anakuja na bonge la gubegi gumejaa PPE. (Buti kubwa, na overall).
Kama hujui mgawanyo wa majukumu omba ufundishwe
Hivi wewe unafananisha uhandisi na fani za procurement, uhasibu,hrm,sociology uhandisi bado ni dili ukilinganisha na fani za Social sciences
Salary scale ya Muhandisi ni kubwa kuliko ya hrm,muhasibu,sociologist nk
Ajira za Uhandisi sio ngumu sana kama za social science
 
Aisee kama unasoma engineering kuwa boss.. basi umekosea fani.
Engineer ni mtendaji.. mtekelezaji.. kwa wale wenye pashen ya kuvumbua na kutengeneza mambo fulani engineering inawafaa.
Kama ingekuwa haina ishu.. leo hii nafasi za kazi zingekuwa hazitangazwi kwa ma engineer.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kiukweli ni matusi tupu kukesha kuwapelekea CV zetu HRS tulio wafunza hesabu olevel na advance wao waliwahi kulala sisi tukakesha na misuli. Leo ndio wanapima mishahara yetu.
 
Mkuu kiukweli ni matusi tupu kukesha kuwapelekea CV zetu HRS tulio wafunza hesabu olevel na advance wao waliwahi kulala sisi tukakesha na misuli. Leo ndio wanapima mishahara yetu.
Wewe ndiyo maana nikakwambia hujui mgawanyo wa majukumu
Una uhakika kwamba walikuwa walala? Kuna watu wamesoma social science na walikuwa wanakesha Mbona
Kuhusu mshahara ni kwamba unaweza ukamzidi mshahara HR na ni kawaida ndiyo maana daktari mwenye degree anaanza na 1.5M(kama sikosei)wakati hrm,sociology, public administration 700,000/- ambayo ni Mara 2
Kuhusu kupeleka barua kwa HR hiyo ndiyo moja ya majukumu yake, ni Kama wewe unapofanya structural design, unapopima strength of material maabara
 
Mkuu ni kweli lkn daah michosho sana hawa watu wa art ndio wanao tusua
Wewe ndiyo maana nikakwambia hujui mgawanyo wa majukumu
Una uhakika kwamba walikuwa walala? Kuna watu wamesoma social science na walikuwa wanakesha Mbona
Kuhusu mshahara ni kwamba unaweza ukamzidi mshahara HR na ni kawaida ndiyo maana daktari mwenye degree anaanza na 1.5M(kama sikosei)wakati hrm,sociology, public administration 700,000/- ambayo ni Mara 2
Kuhusu kupeleka barua kwa HR hiyo ndiyo moja ya majukumu yake, ni Kama wewe unapofanya structural design, unapopima strength of material maabara
 
Wakuu nimeshituka saivi engineering sio issue tena kwasababu tutaishia kutumwa tu huku watu wa accounting, finance, procurement, HR, wakina madam Vero wanaingia ofisini na vipochi vimejaa lip sticks, na perfume na kuishia kukaa kwenye viyoyozi na kupokea, visimu vya mezani huku engineer anakuja na bonge la gubegi gumejaa PPE. (Buti kubwa, na overall).

Wakuu kiukweli ni matusi tupu kukesha kuwapelekea CV zetu HRS tulio wafunza hesabu olevel na advance wao waliwahi kulala sisi tukakesha na misuli. Leo ndio wanapima mishahara yetu.

Mbaya zaidi ukienda kwenye makampuni wanao pack vigari maofisini ni watu wa HR, ACCOUNTING AND FINANCE NA WATU WA PROCURE. Inauma sana wakuu.
Jidanganye.!!!!
Engineering ni Engine ya Dunia.
 
Mkuu nakusapoti.
Inategemea jamaa alipita kwenye kampuni za level gani,mimi bahati nzuri baada ya kusoma Engineering na kumaliza chuo nimebahatika kupita kwenye kampuni za level zote.
Kwa mfano ukienda kwenye kampuni ndogondogo za wahindi na kampuni zingine zinazofanana na hizo huwa wanawadharau watu wa Engineering na wanaonekana wanyonge,wanawaogopa watu wa maofisini kama HR.
Ukienda kwenye kampuni za level ya kati wanabalance yaani Engineers,HR,Procurement hawaachani sana kwenye mishahara.
Na ukienda kwenye kampuni za level za juu zaidi Engineers wanathaminika kuwazidi hao watu wa HR na wahasibu unaosema na wanawaogopa Engineers.
So inategemea sehemu ulizopita umepata exposure gani.
Hata mimi mwanzoni wakati nimeanza kufanya kazi kwenye vikampuni vya wahindi nilitokea kuichukia sana Engineering lkn sasa hivi naipenda sana na najipongeza kusoma Engineering.
Wewe ndiyo maana nikakwambia hujui mgawanyo wa majukumu
Una uhakika kwamba walikuwa walala? Kuna watu wamesoma social science na walikuwa wanakesha Mbona
Kuhusu mshahara ni kwamba unaweza ukamzidi mshahara HR na ni kawaida ndiyo maana daktari mwenye degree anaanza na 1.5M(kama sikosei)wakati hrm,sociology, public administration 700,000/- ambayo ni Mara 2
Kuhusu kupeleka barua kwa HR hiyo ndiyo moja ya majukumu yake, ni Kama wewe unapofanya structural design, unapopima strength of material maabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakusapoti.
Inategemea jamaa alipita kwenye kampuni za level gani,mimi bahati nzuri baada ya kusoma Engineering na kumaliza chuo nimebahatika kupita kwenye kampuni za level zote.
Kwa mfano ukienda kwenye kampuni ndogondogo za wahindi na kampuni zingine zinazofanana na hizo huwa wanawadharau watu wa Engineering na wanaonekana wanyonge,wanawaogopa watu wa maofisini kama HR.
Ukienda kwenye kampuni za level ya kati wanabalance yaani Engineers,HR,Procurement hawaachani sana kwenye mishahara.
Na ukienda kwenye kampuni za level za juu zaidi Engineers wanathaminika kuwazidi hao watu wa HR na wahasibu unaosema na wanawaogopa Engineers.
So inategemea sehemu ulizopita umepata exposure gani.
Hata mimi mwanzoni wakati nimeanza kufanya kazi kwenye vikampuni vya wahindi nilitokea kuichukia sana Engineering lkn sasa hivi naipenda sana na najipongeza kusoma Engineering.

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU tusaidiane connection kama unaweza hata kwenye hizo kampuni ndogo tu
 
Mkuu kiukweli ni matusi tupu kukesha kuwapelekea CV zetu HRS tulio wafunza hesabu olevel na advance wao waliwahi kulala sisi tukakesha na misuli. Leo ndio wanapima mishahara yetu.
Imekuwa hivyo na iyakuwa hivyo. Ww kama unangaalia kuwa ulikesha sana imekula kwako.
Alie kuwahi amekuwahi.. sheria za chuo ukizileta mtaani utafeli. And pls hayo si matusi.. ni nafasi tu.

Ww ulichagua kulia.. mwenzio akachagua kushoto. Either way kila mtu atapitia njia yake kufanikiwa.
Lakim itabaki pale pale. Engineer ni mtu wa field.
Kama unaona HRS wanakula shav saana.. basi unaweza hama fani.
Wenye mapenz na field works wapo.. na wataendelea kuwepo. Acha kulalama hovyo kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom