Eng. Hersi Said angalia upya wanaouza jezi za Yanga

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,332
12,647
Inawezekana GSM haioni tatizo kwenye mapato ya jezi lakini wadau wengine wengi wananung'unika sana kutokana na uuzaji wa Jezi.

Jezi zinafichwa na kuuzwa kwa bei kubwa kwa mlango wa nyuma hapohapo klabuni.
 
Inawezekana GSM haioni tatizo kwenye mapato ya jezi lakini wadau wengine wengi wananung'unika sana kutokana na uuzaji wa Jezi.

Jezi zinafichwa na kuuzwa kwa bei kubwa kwa mlango wa nyuma hapohapo klabuni.
Halafu klabu inapata 1300 tu
 
Halafu klabu inapata 1300 tu
Inayobaki anawapa kina manara oscar oscar na kigwangala wahoji billion 20 za simba ili yanga wasishtuke kama wanapigwa hela muwakilishi wa company na muwakilishi wa club ndio huyo hyo kweli wajinga ndio waliwao
 
Hata Tshs 300@ inatosha kuiunganisha Yanga Haier bilion 1.5 miezi 6.wakati MO extra mechi 60+ milioni 150 mbumbu kabisa CEO Chaunabe .mapato ya Ngada FCkwa mwaka billion 3.9 tshs.wapumbavu mnashangilia msimamizi wa uchaguzi Manzoki badala ya kushughulikia issue za maendeleo.
 
'Injinia tunaomba Kwa Dhati atimuliwe ..!

Anaingia Mikataba Ya Hovyo Ya Mchongo ili apige Hela' Kama huu Wa Haier..!
Wakati anajua Kbs tuna Mkataba Na Sportpesa..!
 
Lete dodoso la huo mkatab mpya kuhusu mgawanyo wa fedha za jezi
Mkataba huu wameingia 12/9/2022

KLABU ya Yanga na Kampuni ya GSM wamesaini mikataba miwili yenye thamani ya jumla ya Sh Bil 10.9

Akizungumza wakati wa kusaini mikataba hiyo, Dar es Salaam leo, Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said, amesema mkataba huo umegwanyika sehemu mbili.

“Mkataba huo uliogawanyika sehemu mbili utahusisha, mkataba wa kwanza wa uzalishaji na usambazaji wa jezi pamoja na bidhaa mbalimbali za klabu, ambapo kila mwaka GSM Group itailipa Young Africans Sh Bilioni 1.5, ambayo itakua inaongezeka kwa 10% na kufanya jumla ya thamani kuwa Sh Bilioni 9.15 ndani ya miaka mitano.

“Mkataba wa pili utakua ni wa udhamini, ambapo GSM italipa Sh Milioni 300 kwa mwaka, itakayokuwa ikiongezeka kwa 10% kila mwaka kwa muda wa miaka 5 kuifanya jumla kuwa na Sh Bilioni 1.83 kwa miaka mitano,” alisema Hersi na kuongeza kuwa mkataba huo wa pili ni wa GSM kuweka nembo kwenye jezi.

“Yanga itanufaika na mikataba hii miwili kwa kuvuna takribani Sh Bil. 10.9, jambo ambalo ni neema kubwa kwa Yanga na tunaamini kupitia mikataba hii, Yanga itazidi kuimarika,” alisema Hersi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Biashara, GSM, Allan Chonjo, alisema ameafiki ufunguzi huo wa ukurasa upya baina ya GSM na Yanga, kwani utakuwa ni chachu ya kudumisha michezo nchini.
 
Mkataba huu wameingia 12/9/2022

KLABU ya Yanga na Kampuni ya GSM wamesaini mikataba miwili yenye thamani ya jumla ya Sh Bil 10.9

Akizungumza wakati wa kusaini mikataba hiyo, Dar es Salaam leo, Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said, amesema mkataba huo umegwanyika sehemu mbili.

“Mkataba huo uliogawanyika sehemu mbili utahusisha, mkataba wa kwanza wa uzalishaji na usambazaji wa jezi pamoja na bidhaa mbalimbali za klabu, ambapo kila mwaka GSM Group itailipa Young Africans Sh Bilioni 1.5, ambayo itakua inaongezeka kwa 10% na kufanya jumla ya thamani kuwa Sh Bilioni 9.15 ndani ya miaka mitano.

“Mkataba wa pili utakua ni wa udhamini, ambapo GSM italipa Sh Milioni 300 kwa mwaka, itakayokuwa ikiongezeka kwa 10% kila mwaka kwa muda wa miaka 5 kuifanya jumla kuwa na Sh Bilioni 1.83 kwa miaka mitano,” alisema Hersi na kuongeza kuwa mkataba huo wa pili ni wa GSM kuweka nembo kwenye jezi.

“Yanga itanufaika na mikataba hii miwili kwa kuvuna takribani Sh Bil. 10.9, jambo ambalo ni neema kubwa kwa Yanga na tunaamini kupitia mikataba hii, Yanga itazidi kuimarika,” alisema Hersi.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Biashara, GSM, Allan Chonjo, alisema ameafiki ufunguzi huo wa ukurasa upya baina ya GSM na Yanga, kwani utakuwa ni chachu ya kudumisha michezo nchini.
Kuna kitu nataka nikuandikie ila nyakujulisha msimu mpya ukianza mkitangaza mapato na matuminzi
 
Kuna kitu nataka nikuandikie ila nyakujulisha msimu mpya ukianza mkitangaza mapato na matuminzi
Mapato na matumizi hayatangazwagi mitandaoni bali ni kwenye mkutano mkuu tu.

Wewe andika tu kama ni Cha kweli kitaonekana na kama ni uongo itajulikana.
 
Nimeona mahala wameandika mpaka nikachoka;

Hersi ni Rais wa Yanga, pia, Hersi huyo huyo ni mkurugenzi wa Uwekezaji GSM, wale jamaa HAIER nao ni washirika wakubwa wa GSM.

Hapo kwa mtu mwenye kujielewa lazima ataona Hersi anawatumia utopolo kwa manufaa ya kampuni anayofanyia kazi na washirika wake.

Ajabu kuu ni pale mashabiki wa utopolo wanapomshangilia Hersi kwa unyonyaji anaowafanyia, wale jamaa ni wa kuhurumiwa sana.
 
Mapato na matumizi hayatangazwagi mitandaoni bali ni kwenye mkutano mkuu tu.

Wewe andika tu kama ni Cha kweli kitaonekana na kama ni uongo itajulikana.
Tusubiri muda ufike halafu tutarejea hilo dodoso
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom