kilasanioni
Senior Member
- Apr 19, 2013
- 111
- 28
Pata eneo kubwa kwa ajili ya kilimo,ufugaji, shule, kiwanda,makazi,nk huko Mkuranga Kiparang"andabarabara ya Kilwa. Eneo lina ukubwa wa ekari 10 na zaidi. Ukitaka zaidi utaongezewa hata kufikia eka 20. Bei ni nzuri mno na ni vyema kuwahi kwani maendeleo ya maeneo hayo yanakwenda haraka sana. Wasiliana na Bw. Salum Ngohengo kwa simu no: 0787 431 272. au Bw Msaki simu no: 0782 757411.