Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Naomba kujuzwa, jee ni mbadala wa kariakoo?
Zaidi ya kariakoo? Au tofauti na Kariakoo?
Kila mtu ana majibu yake, kama kuna anayejua msaada tafadhali..
Moja ya majibu
"itakua ni soko kubwa la bidhaa za jumla zaidi ya k.koo jee ni kweli"?
Kama hujui una maamuzi ya kupita kimya au faida ya kujifunza,
Usijaze nzi kwa comments chafu..
Zaidi ya kariakoo? Au tofauti na Kariakoo?
Kila mtu ana majibu yake, kama kuna anayejua msaada tafadhali..
Moja ya majibu
"itakua ni soko kubwa la bidhaa za jumla zaidi ya k.koo jee ni kweli"?
Kama hujui una maamuzi ya kupita kimya au faida ya kujifunza,
Usijaze nzi kwa comments chafu..