mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Mimi
Kwakuwa nimekulia kijijini sitosahau siku moja
Niliingia na demu wangu kichaka kimoja hivi mbaaali na Kijiji. Nakumbuka ilikuwa usiku wa saa mbili hivi. Ulikuwa usiku ambao mbalamwezi ilikuwa inawaka kwa kufifia hivi.
Baada ya kufika eneo la tukio binti alitandika kanga chini na kuanza kubonyezana bonyezana maeneo muhimu, , , Mara mzee baba nikaanza kudumbukiza ile Mambo..
Baada ya dakika chache,, nikasikia Kama kitu kimenidondokea mgongoni, kwakuwa utamu ulikolea nilihisi Kama kijiti flani the laini laini. Ila songi lilikatika baada ya kugundua kumbe aliyedondoka alikua ni NYOKA. duuuuuuh hiyo purukushani ilikuwa Ni zaidi ya muvi aisee.
Tulikimbia Kwanza na kuacha Kila kitu pale.
Jamani "kasumba hizi duh"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa nimekulia kijijini sitosahau siku moja
Niliingia na demu wangu kichaka kimoja hivi mbaaali na Kijiji. Nakumbuka ilikuwa usiku wa saa mbili hivi. Ulikuwa usiku ambao mbalamwezi ilikuwa inawaka kwa kufifia hivi.
Baada ya kufika eneo la tukio binti alitandika kanga chini na kuanza kubonyezana bonyezana maeneo muhimu, , , Mara mzee baba nikaanza kudumbukiza ile Mambo..
Baada ya dakika chache,, nikasikia Kama kitu kimenidondokea mgongoni, kwakuwa utamu ulikolea nilihisi Kama kijiti flani the laini laini. Ila songi lilikatika baada ya kugundua kumbe aliyedondoka alikua ni NYOKA. duuuuuuh hiyo purukushani ilikuwa Ni zaidi ya muvi aisee.
Tulikimbia Kwanza na kuacha Kila kitu pale.
Jamani "kasumba hizi duh"
Sent using Jamii Forums mobile app