el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,033
Hapo zamani za kale wazungu walituaminisha kuwa hakuna atakayetokea au kuwakaribia kina John lenon, Paul McCartney na Crew yao nzima ya The Beatles, Bila kumsahau Elvis Presley as a single Artist..
Walituaminisha sana hadi alipotokea Michael Joseph Jackson, akavunjilia rekodi zao zote mbali na Kuweka jina lake kama The Best ever katika historia ya Biashara ya Muziki, huwezi ukafanya muziki wakuimba ukatamba katika biashara ya Muziki kidunia Bila kutembea katika nyendo za Michael...
Mashabiki wa Michael na Muziki kwa ujumla tushare picha za Michael jackson hapa..
Hebu tushare picha za Mfalme Michael hapa...
Walituaminisha sana hadi alipotokea Michael Joseph Jackson, akavunjilia rekodi zao zote mbali na Kuweka jina lake kama The Best ever katika historia ya Biashara ya Muziki, huwezi ukafanya muziki wakuimba ukatamba katika biashara ya Muziki kidunia Bila kutembea katika nyendo za Michael...
Mashabiki wa Michael na Muziki kwa ujumla tushare picha za Michael jackson hapa..
Hebu tushare picha za Mfalme Michael hapa...