FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Please toeni hiyo picha ya ajali ya mwezi oktoba, nilikuwa napata shida kuona how watu 11 wamefariki wakati ndege iko in such relatively good conditon
Anaitwa Marehemu Angelo!Nan huyo mkuu naomba kumujua
????????!!Unanikumbusha 619 ya huyu jamaa.
Usikose survival series this sunday. Uone team raw tunavyotoa dozi kwa team smack down.
Bound for groly ishachezwa TNA
Mechi za survival series this sunday
-Team raw (Curt angle, strauwman, Finn barlor, Samoe joe, triple H ) VS Team smack down (shane mcmahoon, Bob roode, Randy orton, nakamura, John cena)
-Alexa blis vs charlote
-The shield vs New day
-The Miz vs Cobin Baron
-Shemus & Secero vs the usos
-Women team raw vs women team smack down
-Lesner vs Aj styles
R.IP wote mliofariki kwenye ajali ya ndege
Duh! Rip wote waliopoteza maisha! Mzee anaondoka na mali zake!! So sad
Mzee nani?
Those are assholes at their imbecelic executive task chief..dont give a damn bout em...????????!!
Hivi nyie mavi.jana ya Tanzania mna akili kweli? Hapo umeona ndo imeanguka au mods walikuwa wanaonesha Ndege yenyewe iliyoanguka? Uache umazwazwa na we we!Mbona haijalipuka wamekufaje sasa na mikanda walifunga?
Es no de su negocio. Vete a la mierda????????!!
Nicola amekufa kwani?Baada ya Nichola Colangelo kuondoka duniani, ajali zimeanza.
Yes kiongozi. Tarehe 24 July mwaka huu, Italy.Nicola amekufa kwani?
Hili zoezi la kushuka na kupaa ghafla lilinitesa sana kwenye BombadierNadhani kitu ambacho hakijui ni kuwa mikanda katika ndege hutumika wakati wa takeoff na landing tu tofauti na kwenye gari, ila kwenye hizi ndege ndogo hushauriwa kuvaa mikanda wakati wote kwasababu ndege hizi ndogo inapokuwa juu mara nyingi kunakuwa na kupanda na kushuka kwa ghafla ( changing of levels) sasa kama hujafunga mkanda unaweza jikuta kwenye floor ya ndege au ukagongana na wenzako. PIA kwenye ndege iwe kubwa au ndogo, mikanda haisaidii chochote patokeapo ajali.