Russia: Watu 41 wafariki dunia baada ya ndege kuwaka moto

mawaridi

Member
Aug 30, 2015
47
123
Watu 41 wamefariki dunia baada ya ndege waliyokuwa wamepanda kupatwa na hitilafu na kuwaka moto.

Tukio hili limetokea jijini Moscow, baada ya ndege hiyo kujaribu kutua kwa dharura kwenye uwanja wa Sheremetyevo.

Ndege hiyo ilikuwa imeruka kutoka Moscow kwenda Murmansk.

Ndege hiyo ilikuwa na watu 78 na 5 crew ambapo 37 kati yao waliokoka kwenye ajali hiyo
Screenshot_2019-05-05-18-43-37-1.jpg

=====

Forty-one people on board a Russian Aeroflot passenger plane were killed on Sunday, including two children, after the aircraft caught fire as it made a bumpy emergency landing at a Moscow airport, Russian investigators said.

Television footage showed the Sukhoi Superjet 100 crash bouncing along the tarmac at Moscow's Sheremetyevo airport before the rear part of the plane suddenly burst into flames.

Many passengers on board SU 1492 then escaped via the plane's emergency slides that inflated after the hard landing.

The plane, which had been flying from Moscow to the northern Russian city of Murmansk, had been carrying 73 passengers and five crew members, Russia's aviation watchdog said.

Svetlana Petrenko, a spokeswoman for Russia's Investigative Committee, said in a statement that only 37 out of 78 people on board had survived, meaning 41 people had lost their lives.

No official cause has been given for the disaster.

The Investigative Committee said it had opened an investigation and was looking into whether the pilots had breached air safety rules.

Some passengers blamed bad weather and lightning.

"We took off and then lightning struck the plane," the Komsomolskaya Pravda daily cited one surviving passenger, Pyotr Egorov, as saying.

"The plane turned back and there was a hard landing. We were so scared, we almost lost consciousness. The plane jumped down the landing strip like a grasshopper and then caught fire on the ground."

State TV broadcast mobile phone footage shot by another passenger in which people could be heard screaming.

President Vladimir Putin and Prime Minister Dmitry Medvedev expressed their condolences and ordered investigators to establish what had happened.

The Interfax news agency cited an unnamed "informed source" as saying the evacuation of the plane had been delayed by some passengers insisting on collecting their hand luggage first.

Russian news agencies reported that injured passengers were being treated in hospitals.

DEBRIS IN THE ENGINES

The Flightradar24 tracking service showed that the plane had circled twice over Moscow before making an emergency landing after just under 30 minutes in the air.

The plane's under-carriage gave way on impact and its engines caught fire.

Interfax cited a source as saying the plane had only succeeded making an emergency landing on the second attempt and that some of the aircraft's systems had then failed.

The emergency landing was so hard that debris had found its way into the engines, sparking a fire that swiftly engulfed the rear of the fuselage, the same source said.

Russian investigators said they were looking into various versions.

Russian news agencies reported that the plane had been produced in 2017 and had been serviced as recently as April this year.

Aeroflot has long shaken off its troubled post-Soviet safety record and now has one of the world's most modern fleets on international routes where it relies on Boeing and Airbus aircraft.

Russian officials are keen for Aeroflot to buy more Sukhoi Superjets, a regional airliner, for domestic flights to support the country's fledgling civil aircraft industry. The plane is built in Russia's Far East.

A Sukhoi Superjet crashed in Indonesia in 2012, killing all 45 people on board in an accident blamed on human error.

The Superjet entered service in 2011 and was the first new passenger jet developed in Russia since the fall of the Soviet Union.

It has been hit, however, by sporadic concerns over safety and reliability, including a December 2016 grounding after a defect was discovered in an aircraft's tail section.

Russian officials said on Sunday it was premature to talk of grounding the Sukhoi Superjet for now. The plane is predominantly used by Russian airlines like Aeroflot, but is also used by a few other foreign operators, including a low-cost Mexican airline.

Dozens of flights at Sheremetyevo were delayed because of the disaster.

(Reporting by Maria Tsvetkova and Andrew Osborn; Additional reporting by Gleb Stolyarov in Moscow and Tim Hepher in Paris; Writing by Andrew Osborn; Editing by Frances Kerry and Peter Cooney)
 
Huyu pilot si sawa vile alifanya
Huwezi ku land an emergency landing kwa uwanja alipaswa apeleke ndege kwa sea
 
Hana walisema ni mtu mmoja.
Kumbe ni wengi.
Hata mimi niliamini hivyo manake waliokua wana evacuate walikua wengi ila kwa upuuzi wa watu nilijua tu watakufa wengi kwasababu kuna mijitu mijinga huwa inahangaika kuchukua mabegi badala ya kukimbia kujiokoa
 
Huyu pilot si sawa vile alifanya
Huwezi ku land an emergency landing kwa uwanja alipaswa apeleke ndege kwa sea
we jamaa unajua risk za ku land kwenye maji hata hao waliopona wasingetokea unakumbuka ile ya ethiopia iliyokuwa hijacked
 
... how far is the nearest sea point from Moscow? Huenda isingefika huko.
Pale ni kosa la air hostess hawakuwaandaa abiria ki saikolojia kwamba tukitua hakuna mtu kugusa begi ni mbio kutoka nje tena kila mtu ajiokoe sio kusema unamsaidia mtu mana kuna watu wanajifanyaga wasamalia wema nyie mnakimbia kwenda mbele yeye anawa block kutaka luludi nyuma kutafuta watu wa kuwaokoa mwishowe mna stuck mule mnakufa na moshi
 
Pale ni kosa la air hostess hawakuwaandaa abiria ki saikolojia kwamba tukitua hakuna mtu kugusa begi ni mbio kutoka nje tena kila mtu ajiokoe sio kusema unamsaidia mtu mana kuna watu wanajifanyaga wasamalia wema nyie mnakimbia kwenda mbele yeye anawa block kutaka luludi nyuma kutafuta watu wa kuwaokoa mwishowe mna stuck mule mnakufa na moshi
Umenikumbusha kipindi cha mauji ya kimbari kuna sehemu tulifanyiwa ambush rafiki yangu akajifanya kumsaidia manzi wake aise.......now naendaga kusoma jina lake kwenye makumbusho tu
 
Umenikumbusha kipindi cha mauji ya kimbari kuna sehemu tulifanyiwa ambush rafiki yangu akajifanya kumsaidia manzi wake aise.......now naendaga kusoma jina lake kwenye makumbusho tu
Du poleni sana mkuu mi huwa naona kweye movie tu ile ya hotel rwanda kumbe mtiti ulikua mnene
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom