Unanikumbusha 619 ya huyu jamaa.oh pole wafiwa nilidhani ni Gulf Stream G550
Yule ni muitalia sijui nao wanaongoza biashara zao kwa ndumbaTokea yule mdosi aondoke ndege zake zinamfuata
Nan huyo mkuu naomba kumujuaDuh! Rip wote waliopoteza maisha! Mzee anaondoka na mali zake!! So sad
Hii picha wameweka mods sio mimi, hii ndege kwenye picha ni ajali ya mwezi uliopita ya kampuni hiyo hiyo, ndege iliyo pata ajali ni Tail number 5H-EGG na hii kwenye picha iliyopata ajali mwezi uliopita ni 5H-THR.Mbona picha ni ya kitambo sana
Amina.Wapumzike kwa amani marehemu wote....
ok thanks nimekusomaHii picha wameweka mods sio mimi, hii ndege kwenye picha ni ajali ya mwezi uliopita ya kampuni hiyo hiyo, ndege iliyo pata ajali ni Tail number 5H-EGG na hii kwenye picha iliyopata ajali mwezi uliopita ni 5H-THR.
Ngorongoro, Arusha: Ndege ya Shirika la Coastal Aviation yaanguka. Inasadikiwa watu 11 wamefarikiMbona haijalipuka wamekufaje sasa na mikanda walifunga?
unadhani kulikuwa na soft landing? fikiria mmetua kwa kishindo baada ya kugonga miti..Mbona haijalipuka wamekufaje sasa na mikanda walifunga?
Duh! Rip wote waliopoteza maisha! Mzee anaondoka na mali zake!! So sad
Mzee nani?
Nadhani kitu ambacho hakijui ni kuwa mikanda katika ndege hutumika wakati wa takeoff na landing tu tofauti na kwenye gari, ila kwenye hizi ndege ndogo hushauriwa kuvaa mikanda wakati wote kwasababu ndege hizi ndogo inapokuwa juu mara nyingi kunakuwa na kupanda na kushuka kwa ghafla ( changing of levels) sasa kama hujafunga mkanda unaweza jikuta kwenye floor ya ndege au ukagongana na wenzako. PIA kwenye ndege iwe kubwa au ndogo, mikanda haisaidii chochote patokeapo ajali.unadhani kulikuwa na soft landing? fikiria mmetua kwa kishindo baada ya kugonga miti..
ghafla bila ya kuwa mmeiona kutokana na ukungu afu mbavu moja ivunjike na kuchoma moyo wako utasema hukufunga mkanda?