Emmanuel Nkulila yu wapi?

"yupo cali,ni raia wa marekani sasa,alimpeleka mike mhagama L.A kupiga box"

Bwana Maandamano una uhakika na unachokisema au ushabiki tu wa mtaani? mbona iko wazi kuwa Radio One ndiyo iliyompeleka Mike Mhagama Marekani kwa kozi ya miezi sita lakini hakurudi tena? na hili liko wazi kwani kila kitu kilisukwa na Mtoto wa Mengi mkubwa wa kiume ambaye alikuwa karibu na huyu bwana na Bwana Mhagama aliandika barua ya kuacha kazi akiwa huko huko Marekani kabla ya miezi sita kuisha na alipata baraka zote ingawa uongozi haukufurahia hilo.Hivi unaamini kuwa kuwa mwanamuziki wa Tanzania wakati ule mwenye uwezo wa kumpeleka mtu abroad kusoma au hata matembezi tu? kwa pesa gani? watafute wenzie wa Radio One watakupa hizi habari.​
 
niko nae hapa California.....kuna pub moja inaitwa vingunguti pub tuko hapo wabongo
 
Hivi aliimba pia ile 'Zannzibarrrrr'??
Nilikuwa naupenda ule mwimbo wake na yule dada.....Nkulila was gooooooooood...


Emanuel Nkulila alikuwa anaimba kwaya tu kama unataka kujua nani kaimba wimbo wa Zanzibar angalia hapa chini

 
Last edited by a moderator:
Huo wimbo Zanzibar si aliimba Sipho Sticks Mabuse wa Afrika Kusini? Siamni kama ni Emmanuel Nkulila labda mnieleweshe vema. "The beautiful island of Africa" ni baadhi ya maneno katika wimbo huo.

Haswaaa. Huo Zanzibar uneimbwa na Sipho Mabuse wa Afrika kusini
 
mi leo kesho nautafuta ule wimbo wa pain in me , nimejaribu ku download ila wapi
 
yupo cali,ni raia wa marekani sasa,alimpeleka mike mhagama L.A kupiga box

Daah....unamzungumzia MIKE,,,,PESAMBILI,,,,MHAGAMA cku za mwanzo za Radio one kwenye kipindi cha TOPTEN kila J2 kuanzia saa6 mchana jamaa alikuwa na sound nzuri yakutangazia kwakweli,,,!
 
Daah....unamzungumzia MIKE,,,,PESAMBILI,,,,MHAGAMA cku za mwanzo za Radio one kwenye kipindi cha TOPTEN kila J2 kuanzia saa6 mchana jamaa alikuwa na sound nzuri yakutangazia kwakweli,,,!
Na DJ show pia,,,wakipiga pini nyingi za mbele na kidogo kidogo bongo flavour.
Na nadhan huyu ndo mwanzilish wa hili neno BONGO FLAVOUR.
 
Huo wimbo Zanzibar si aliimba Sipho Sticks Mabuse wa Afrika Kusini? Siamni kama ni Emmanuel Nkulila labda mnieleweshe vema. "The beautiful island of Africa" ni baadhi ya maneno katika wimbo huo.
Upo sahihi
 
Wakuu, huyu jamaa nilitokea kumkubali sana enzi zile ya ile debut track yake ' Why can't you change your love for me' ambayo alimshirikisha mdada gani sijui. Back then, it was among my favorite songs. Ila nashindwa kuelewa kama jamaa aliendelea na mziki or currently where he is and what he's doing. Anayefahamu tafadhali naomba anijuze!
Emanuel yupo, amejikita kwenye masuala ya mziki wa injili, pia alisoma masters of library and information science anayoifanyia Kazi.
Nakaa karibu na mama ake mzazi, nyumba aliyoijenga, tulikua nae mtaani mwaka huu mwezi wa Nne.
 
Emanuel yupo, amejikita kwenye masuala ya mziki wa injili, pia alisoma masters of library and information science anayoifanyia Kazi.
Nakaa karibu na mama ake mzazi, nyumba aliyoijenga, tulikua nae mtaani mwaka huu mwezi wa Nne.
Anaish WAP mamake
 
Naombeni mwongozo basi kwa anayejua na aliyetayari kunisaidia namna ya kupata hizo nyimbo za jamaa kutoka kwenye hiyo link ya bongoline.com manake mimi nimeifungua lakini sijui nifanyeje kupata hizo nyimbo. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Back
Top Bottom