Delemy 004
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 407
- 145
Tupe ushahidi
ukitaka ushahidi kamuulize kiongozi wa maharage
Tupe ushahidi
Sasa ni wakati wa kupiga 500m toka ccm,tumia akili ya kuzaliwa wajinga ndiyo waliwao
ukitaka ushahidi kamuulize kiongozi wa maharage
Mkuu, 500M ni hela ndefu sana ambayo hata mimi nikipewa lazima niitishe press conference, ili mradi igharamiwe na hao hao. Nitapiga domo weee lakini hela nimeshakamata. Wafanyakazi wachache sana wanaokamata 500M kama pensheni ya miaka yao yote kaziniSiamini kama hela yetu ya 'madafu' imepoteza thamani kiasi hicho...maana siku hizi watu wanaongelea mamia ya mamilioni na mabilioni kana kwamba wanaongelea visenti. Kwa thamani gani au ushawishi gani alio nao Mbasha kulipwa 500m?!
safi sana kama alisingiziwa na iwe laana kwa aliyemsingizia
mwenye haki mpe haki yake
Nachojuwa ni kuwa, c vema ukahukumu usichokijua, kwani kati ya Mbasha na mkewe pamoja na hao wengine, wanachokisema hakuna anayejua mkweli ni nani, kwani kila mmoja anatoa ushahidi wake... Cha muhim ni kulikabidhi swala hili kwa Mungu ili mambo yawe hadharani... SAUTI YA WENGI, LAZIMA MUNGU ATAIJIBUusimfunge mtu ili uwe huru kulala na mkewe. halafu unajiita kiongozi wa dini mzinzi
Aisee aombe kuongea na vyombo vya habari,ataendelea kupata mialiko yenye malipo!Sasa ni wakati wake wa kupiga pesa kupitia wanasiasa. Yaani asipopiga 500M muda huu uliobaki, fursa nyingine itabidi aisubiri 2020
mbasha anazunguka na magufuli kwenye kampeni kwa hiyo hakuna kesi ilikuwa maigizo tu.
tangu lini ccm ikajishtaki mahakamani.
UKAWA ikiingia madarakani huu upuuzi hatuutaki tena wa wanasiasa kuingilia maamuzi ya mahakama.
haiwezekani mtu kabaka mchana kweupe leo mtuambia hakubaka.
huu ni ujinga uliopitiliza.